Kumekua na malalamiko mengi kuhusu huduma mbaya kwa wateja hasa kutoka kwa mashirika ya Umma, na leo nimekutana na hili, ninafikiri kushare hizi experience na kama wahusika wanaona basi iwasadie kuchukua hatua.
Ninatumia huduma ya TTCL broadband kwa internet, ni huduma nzuri. leo mida ya saa 12 huduma ikakatika na mie nilikua na utitiri wa kazi, nikaamua kupiga simu huduma kwa wateja.
Nilipiga namba 100, haya yalikua maongezi yetu
Zena (Customer Service -TTCL): Hallow, nikusaidie nini
Mimi: Hallow, ninaitwa (nikataja jina), ninaongea na nani?
Zena (Customer Service -TTCL): Naitwa Zena, Nikusaidie nini?
Mimi: Asante Zena, ninaongea kutoka UmojaSwitch kijitonyama, toka nusu saa ilopita hatupati connection ya internet, kuna tatizo?
Zena (Customer Service -TTCL): Ndio, kuna shida kubwa kweli, hata sisi wenyewe hapa hatupati internet, lakini mafundi wanafanyia kazi
Mimi: Je, tuitegemee baada ya muda gani?
Zena (Customer Service -TTCL): hapana siwezi kusema, nimeshakwambia hata sisi wenyewe hatupati hiyo internet na mafundi wanafanyia kazi, unajua mimi sio injinia, kwa hiyo siwezi kusema itachukua muda gani
Mimi: sikia zena, sitegemei wewe uwe injinia, lakini nategemea wewe uwe taarifa, ndio maana nakuuliza, lakini asante.
zena akakata simu!.
Mytake:
Hapo kwenye red ndio tatizo.
Customer Service kazi yake (kwa kiasi kikubwa) ni kumpa mteja taarifa, nilitegemea kama kuna tatizo kubwa na wao wanajua nategemea zena awe angalau anajua itachukua muda gani kwa hilo tatizo kutatuliwa ili aweze kuwa-serve wateja.
sikua ninamuomba zena arudishe connection kwa wakati huo, ninaelewa kuna tatizo, ila ili niweze kujipanga ninaomba tu kujua the approximate time itayochukua kabla connection haijarejeshwa.
Ninatumia huduma ya TTCL broadband kwa internet, ni huduma nzuri. leo mida ya saa 12 huduma ikakatika na mie nilikua na utitiri wa kazi, nikaamua kupiga simu huduma kwa wateja.
Nilipiga namba 100, haya yalikua maongezi yetu
Zena (Customer Service -TTCL): Hallow, nikusaidie nini
Mimi: Hallow, ninaitwa (nikataja jina), ninaongea na nani?
Zena (Customer Service -TTCL): Naitwa Zena, Nikusaidie nini?
Mimi: Asante Zena, ninaongea kutoka UmojaSwitch kijitonyama, toka nusu saa ilopita hatupati connection ya internet, kuna tatizo?
Zena (Customer Service -TTCL): Ndio, kuna shida kubwa kweli, hata sisi wenyewe hapa hatupati internet, lakini mafundi wanafanyia kazi
Mimi: Je, tuitegemee baada ya muda gani?
Zena (Customer Service -TTCL): hapana siwezi kusema, nimeshakwambia hata sisi wenyewe hatupati hiyo internet na mafundi wanafanyia kazi, unajua mimi sio injinia, kwa hiyo siwezi kusema itachukua muda gani
Mimi: sikia zena, sitegemei wewe uwe injinia, lakini nategemea wewe uwe taarifa, ndio maana nakuuliza, lakini asante.
zena akakata simu!.
Mytake:
Hapo kwenye red ndio tatizo.
Customer Service kazi yake (kwa kiasi kikubwa) ni kumpa mteja taarifa, nilitegemea kama kuna tatizo kubwa na wao wanajua nategemea zena awe angalau anajua itachukua muda gani kwa hilo tatizo kutatuliwa ili aweze kuwa-serve wateja.
sikua ninamuomba zena arudishe connection kwa wakati huo, ninaelewa kuna tatizo, ila ili niweze kujipanga ninaomba tu kujua the approximate time itayochukua kabla connection haijarejeshwa.