Recent content by Maamuma

  1. M

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Numbisa please come back.
  2. M

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Anachokozwa mtu. Log Z amemiss mapovu, lol!
  3. M

    Wife material yupo hivi

    Siyo alimuacha bali ni alimwacha.
  4. M

    je ni kweli?

    Labda tupewe mifano, watu na mama zao.
  5. M

    Ifahamu kanuni hii itumiwayo na ubongo wako

    Asante sana mkuu The Certified. Mungu akubariki na akuwezeshe kutupa elimu zaidi na zaidi.
  6. M

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    No, usiache please. Japokuwa hii subject imeshapita, nimeona niongeze msisitizo ili mkuu Numbisa uone jinsi wengi tunavyoikubali huduma yako. Asante na ubarikiwe.
  7. M

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Mkuu Numbisa nimekukubali! Asante sana kwa updates.
  8. M

    Kuna familia zina laana ya asili

    Asante sana mshana jr kwa kuleta mada hii. Shukrani pia kwa wote walioshiriki kutoa michango yao hapa. Nimepitia uzi wote, mwanzo hadi mwisho. Nimejifunza kitu kikubwa sana. Mungu awabariki wote waliotoa ushauri na ushuhuda pia. Idumu JF.
  9. M

    Nikaishi wapi ili nijihusishe na maswala ya kilimo na ufugaji?

    Natamani kupata shamba Mtwara (kwa ajili ya kilimo na kufuga). Mwenye ufahamu na upatikanaji wa mashamba Mtwara atuwekee taarifa hapa. Asante.
  10. M

    Nyumbani kuzuri Daima, Narudi kwetu Kigoma

    Huyu wa Nyumbigwa.
  11. M

    Please! Adhere the below message!

    Amen. Asante elijahmasunga kwa kutukumbusha.
Back
Top Bottom