Mmh unaogop kufa kwa maradhi ya fangasi kufa kupo tu siku yako ikifika imefika Fanya starehe uwezavyo.utafanya usafi kwenye kugegedana siku unakufa kwa ajali aliyekuwa analamba koni unamwacha duniani.mapenzi ni uchafu
Nishauri tu naweza nikabadilika....yani nilinunua viatu vilifika pea kumi na vyote vimekatika katika mikanda saizi naona it s better kununua simple najua simple nikiwa na pea ata 5 zinatosha kuliko iv vya 8000 kila siku unanunua
Sawa mimi nina mpangilio kila wiki lazima ninunue kitu cha muhimu,nikianza viatu,viatu tu may be mwezi mzima kila wiki nitatenga 8000,au ata vya kukopa 10000,lakini hapo nitafanya na badget zingin ambazo naona nazihitaji in that time.mi mwanamke unajua lazima nitakuwa na basic needs nyingi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.