Pesa ninayopata ni ndogo?

Pesa ninayopata ni ndogo?

We nae acha uongo. Kila week unanunua perfyume, lotion, viatu. Kwanini watz mnakuwa waongo waongo.

Kama unasoma bachelor miaka 3, utamaliza chuo ukiwa na pairs 96 za viatu. Ukiuza hizo pairs zote kwa 3000 kila pair utakuwa na 288,000 pesa ya kuanzia kulipia kodi ya chumba cha biashara
Mmh ujaelew not everyweek nanunua pafyum viatu ndo ninavyonunua most of the time,viatu vya 8000 quality n ndogo siku mbili tu vimekatika kama sio kuisha kabisa.
 
We nae acha uongo. Kila week unanunua perfyume, lotion, viatu. Kwanini watz mnakuwa waongo waongo.

Kama unasoma bachelor miaka 3, utamaliza chuo ukiwa na pairs 96 za viatu. Ukiuza hizo pairs zote kwa 3000 kila pair utakuwa na 288,000 pesa ya kuanzia kulipia kodi ya chumba cha biashara
Ivyo viatu vya kuvaa sio kuuza kwaiyo niwekeze viatu hadi nimalize chuo wakati watu wanaenda kwa fashion
 
Mkuu komaa kikomandoo utavuka lkn ukweli ni kuwa maisha kichuo chuo magumu sana asikwambie mtu. Komaa Mwisho Utatoboaaa
 
Sabun y kuogea kila wiki oke Una plan n biashara Gan pia uko mkoa Gan Kama uko dar njoo dm
Unashangaa,eh mi sabuni ya kuogea natumia wiki moja tu.Mara nifulie chupi zangu mana mi silundi chupi ningekuwa narunda ata mwezi inafika
Chupi + taiti + sidilia kila siku nikioga nifue iyo sabuni,sabuni ya aina gani ivumilie ikae hadi mwezi jamani
 
Sasa unacheka nn ha ha ha Mimi nanunua foma kwaajili ya kufulia ya buku, na ya kuogea 1 na iyo foma kila wiki nanunua maana nafua Nguo kila wiki Nguo navaa Mara moja tu sirudii,kwaiyo kila wiki lazima nifue.
Sijafua mashuka na unajua yanavyomaliza sabuni kila wiki lazima nibadilishe shuka.
 
Nafanya vya msingi tu naiheshim sana ela sijawahi fanyia ujinga,labda upande wa bando ndo huwa naona Nina kasoro huko ya kuchezea ela ila nikiweza huku basi....
....Perfume na Lotion ni Vitu vya Msingi sana kwa hali uliyo nayo sasa hivi? Amua ununue kimoja tu.
Ukipata Lotion yako moja inayonukia vizuri unakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
Unaweza pia ukanunua sabuni inayonukia vizuri na ukapiga chini perfume na lotion hadi mambo yakae sawa....
 
Unashangaa,eh mi sabuni ya kuogea natumia wiki moja tu.Mara nifulie chupi zangu mana mi silundi chupi ningekuwa narunda ata mwezi inafika
Chupi + taiti + sidilia kila siku nikioga nifue iyo sabuni,sabuni ya aina gani ivumilie ikae hadi mwezi jamani
Oke kumbe 'she' mi nmennua sabun ya magad 100 huu mwez haijaisha. Anyway uko chuo Gan na unatak uanze biashra gan
 
Dah umesimplify sana cdhani kama mlengwa ataweza kiuhalisia
Sawa mimi nina mpangilio kila wiki lazima ninunue kitu cha muhimu,nikianza viatu,viatu tu may be mwezi mzima kila wiki nitatenga 8000,au ata vya kukopa 10000,lakini hapo nitafanya na badget zingin ambazo naona nazihitaji in that time.mi mwanamke unajua lazima nitakuwa na basic needs nyingi na ninapenda urembo.....kwaiyo ela zinaishiaga umo
 
Pesa kitu gani,tumia pesa! Kwani unaijua kesho wewe, watu wanakufa onyo wakiwa na pesa zao.
kwanini ijibane kama neema ipo ipo tu.
 
We nae acha uongo. Kila week unanunua perfyume, lotion, viatu. Kwanini watz mnakuwa waongo waongo.

Kama unasoma bachelor miaka 3, utamaliza chuo ukiwa na pairs 96 za viatu. Ukiuza hizo pairs zote kwa 3000 kila pair utakuwa na 288,000 pesa ya kuanzia kulipia kodi ya chumba cha biashara
Duh fact mkuu kama umeniwahi vile
 
Yani napenda niwe na viatu vingi so kila wiki natenga 8000 kwajili ya kununua simple kiatu,lotion nikinunua Mara moja iyo iyo sana sana viatu....
Dada nilitaka kukushauri kitu ila nimeona niache tu baada ya kusoma hii comment nikuambie tu akuwa wengine tumesoma miaka hii hii ya Magu na hatukuwa na boom na hiyo elfu 40 ni budget ya mwezi mzima.

Wewe wakishua bana endelea kula bata tu. Maana kwa matumizi hayo ukianzisha biashara lazima ujifilisi mwenyewe.
 
Aisee, we mbona asubuhi ulikuwa unalalamika kuzalishwa na aliyekuzalisha hakutaki ila wewe unamtaka? Au hii ni story ingine ambayo haihusiani? Sasa hivi uko zako chuo.
 
Back
Top Bottom