Nina tatizo gani, na litaishaje?

Pole sana.
Mwone Mtaalamu Wa akili akupe ushauri kabla hizo chuki hazijakuletea madhara.
 
Endelea tu hivyo hivyo maana hakuna namna nyingine. Siku zote wanawake huwa hamuekeweki mnataka nini!

Mna complications nyingi mpaka mnakera! Ni basi tu tunajitahidi kuishi na nyinyi kwa akili.
 
Tatizo ulilonalo ni kwamba unajiona mkamilifu kwa vitu vingi na haupo tayari kuyakubali mapungufu ya wenziooo
 
Watu tupo tofauti sana, Wala usijali ni hali ambayo inaweza kumtokea mtu yeyote ambae anaishi, kwa vile umeshatambua kuna baadhi ya watu huendani nawo, basi ni juu yako kuamua kuwasahau na kuendelea na maisha yako, Sababa ukiwabeba moyoni watakuchosha, Samehe wengine kama vile ambavyo wewe ungependa kusamehewa wakati unakowakosea, Jisamehee na wewe mwenyewe binafsi, Tubu dhambi yaChoyo, Hasira,Kibri, masengenyo nk..kikubwa jisalimishe Kwa Mungu alae miungu, Msihi akufinyange akutengeneze kwa namna ya KIMUNGU.
 
Swali la kujiuliza ni Je, hiyo chuki uliyonayo kwa hao watu inawaathiri vipi wao?

Wengi wenu hamjui kuwa chuki uliyonayo moyoni huwa ina madhara makubwa kwako wewe mwenyewe kuliko kwa wale unaowachukia.

Tatizo la chuki lipo kwa watu wengi sana. Kuna hata wazazi hutokea tu kumpenda mtoto fulani na kumchukia mtoto mwingine na amewazaa yeye mwenyewe.

Chuki ni ushetani. Jifunze njia za MUNGU naye atakufundisha upendo.
 
Sielewi nina matatizo gani,katika watu wawili naweza mchukia mmoja mwingine nikampenda sana,kuna kipindi nilipanga sehemu nyumba tulokuwa tunaishi tulipanga wapangaji wanne niliwachukia wawili mmoja nikampenda sana.

Lkini hawa wawili niliwachukia kutokana na kutofanya vile ninavyotaka Mimi usafi hawafanyi binti yangu tu ndo ashughulike na kudeki choo,kudeki jiko na kufagia kila siku hao wapangaji wengine ni kujiandaa tu na kwenda kazini wakati jiko tunashare,choo tunashare etc.

Lakini sio hapo tu nikiishi kwenye jamii huwa Nina mtindo wa kuchukia wengine na wengine kuwapenda zaidi, hao ninaowachukia wanaweza kuwa hawajanikosea Ila najikuta kutopenda kuongea nao, wala kuwahusisha chochote juu ya maisha yangu ata niwe na shida gani, hapa ninavyokuambia nimetokea kuwachukia watoto wa baba angu kwa mama mwingine yani sihitaji niwatafute na sitaki wanitafute ila wao wanamdharau mama hawajishughulishi kabisa kuhusu mama angu wakipata kitu wanampa baba tu kitu ambacho kinaniumiza wakati mama angu amewalea tangu wakiwa wadogo

Kutokana na kutomheshimu mama na Mimi nimeona niwashit kwan mtoto wa baba anaweza asiwe ndugu yako labda alizingiziwa tu.

Ila nilichogundua pia wengine nakuwa siendani nao tabia kwaiyo nakuwa nawachukia tu na uwa naonyesha chuki zangu kwa kukaa kimya bila kuongea kabisa,na ata wakiniuliza kitu najibu kwa hasira na majibu ya mikato.

Mfano kuna mtu naishi nae ni mchoyo ivyo kuna mda najikuta namchukia naweza kaa kimya kutwa nzima nisiongee nikafanya mambo yangu tu.

Hivi imagine changu anaazimisha chake anasema ataki kuazimisha kitaaribika.

Ana kazi ya kuazimisha vitu vyangu nikiwa sipo wakati na yeye anavyo ivyo ivyo.
Kwa nn umchukie mtu? Hilo ni tatizo pia
 
a) Chuki hazina faida, anayechukia na anayechukiwa mwenye hasara ni yule anayechukia - itaathiri afya yako.

b) Tafuta furaha yako wewe binafsi, epuka vitu unavyojua kwamba vitakukera na kukunyima furaha

c) Tumia muda mwingi kutafuta fedha, jiongezee kipato na hatimaye uboreshe uchumi wako
 
Sielewi nina matatizo gani,katika watu wawili naweza mchukia mmoja mwingine nikampenda sana,kuna kipindi nilipanga sehemu nyumba tulokuwa tunaishi tulipanga wapangaji wanne niliwachukia wawili mmoja nikampenda sana.

Lkini hawa wawili niliwachukia kutokana na kutofanya vile ninavyotaka Mimi usafi hawafanyi binti yangu tu ndo ashughulike na kudeki choo,kudeki jiko na kufagia kila siku hao wapangaji wengine ni kujiandaa tu na kwenda kazini wakati jiko tunashare,choo tunashare etc.

Lakini sio hapo tu nikiishi kwenye jamii huwa Nina mtindo wa kuchukia wengine na wengine kuwapenda zaidi, hao ninaowachukia wanaweza kuwa hawajanikosea Ila najikuta kutopenda kuongea nao, wala kuwahusisha chochote juu ya maisha yangu ata niwe na shida gani, hapa ninavyokuambia nimetokea kuwachukia watoto wa baba angu kwa mama mwingine yani sihitaji niwatafute na sitaki wanitafute ila wao wanamdharau mama hawajishughulishi kabisa kuhusu mama angu wakipata kitu wanampa baba tu kitu ambacho kinaniumiza wakati mama angu amewalea tangu wakiwa wadogo

Kutokana na kutomheshimu mama na Mimi nimeona niwashit kwan mtoto wa baba anaweza asiwe ndugu yako labda alizingiziwa tu.

Ila nilichogundua pia wengine nakuwa siendani nao tabia kwaiyo nakuwa nawachukia tu na uwa naonyesha chuki zangu kwa kukaa kimya bila kuongea kabisa,na ata wakiniuliza kitu najibu kwa hasira na majibu ya mikato.

Mfano kuna mtu naishi nae ni mchoyo ivyo kuna mda najikuta namchukia naweza kaa kimya kutwa nzima nisiongee nikafanya mambo yangu tu.

Hivi imagine changu anaazimisha chake anasema ataki kuazimisha kitaaribika.

Ana kazi ya kuazimisha vitu vyangu nikiwa sipo wakati na yeye anavyo ivyo ivyo.
Unajua kwanini Mungu ametuhasa sisi wanaume tuishi na nyie kwa akili? Moja ya sababu ndio hizi .. wala usijishangae ndivyo mlivyo!
 
Back
Top Bottom