Mbeya ni jiji la wachapa kazi na si wavivu kama nyie kutwa kwenye masinema mnaacha kuwajibika ukija huku fuata kilichokuleta uondoke zako usije tuambukiza uvivu wako ..
Rais J.Kabila amesoma hapa Tanzania katika shule moja ya misheni inaitwa Irambo sekondari iliyoko Mbeya vijijini na amepata mafunzo ya jeshi la kujenga taifa dodoma (makutupora ) hivyo kiswahili kwake ni lugha anayo ifahamu vilivyo.
Sintofahamu hii imejitokeza mapema asubuhi mtaani kwetu mtaa wa Ndanyela kata ya Nzovwe jijini Mbeya.
Wananchi wameamua kwa umoja wao kuhifadhi taka kwenye ofisi hiyo baada ya kero yao ya kujengewa ghuba la kuhifadhia taka kugonga mwamba.
Hata hivyo jitihada za kumpata Afisa mtendaji...
mtoa maada hyo majungu sasa na hzo taarifa ni zakupikwa kwani wwe hujui kutochukua risit kwa huduma uliyo pewa ni kosa kisheria na ukatoka ukiwa umeridhika unakuja huku ili iweje ikiwa wwe hukutaka kuchukua risiti ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.