jangala
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,583
- 2,383
Ni kweli usemalo..lakini sio kwa mwanachuo au aliyepitia chuo..angalia vigezo vya mtu anaemtaka..kwanza umri umeenda..pili mwanaume yeyote bila kujali kazi yake ila awe na kazi,elimu nayo eti ajue walau kuandika....hii ni wazi kabisa kuwa binti kashaona maji yamezidi unga anatafuta pa kufia....shtukeni xana wanaume.KAKA INAWEZEKANA YUKO SERIOUS wanawake wamekuwa wengi sana,pia wanaume domo zege wamekuwa wng acha watafutane

