Natafuta mme

Natafuta mme

KAKA INAWEZEKANA YUKO SERIOUS wanawake wamekuwa wengi sana,pia wanaume domo zege wamekuwa wng acha watafutane
Ni kweli usemalo..lakini sio kwa mwanachuo au aliyepitia chuo..angalia vigezo vya mtu anaemtaka..kwanza umri umeenda..pili mwanaume yeyote bila kujali kazi yake ila awe na kazi,elimu nayo eti ajue walau kuandika....hii ni wazi kabisa kuwa binti kashaona maji yamezidi unga anatafuta pa kufia....shtukeni xana wanaume.
 
Ni kweli usemalo..lakini sio kwa mwanachuo au aliyepitia chuo..angalia vigezo vya mtu anaemtaka..kwanza umri umeenda..pili mwanaume yeyote bila kujali kazi yake ila awe na kazi,elimu nayo eti ajue walau kuandika....hii ni wazi kabisa kuwa binti kashaona maji yamezidi unga anatafuta pa kufia....shtukeni xana wanaume.
Mkuu umenichekesha sana! Huo umri unaunaodai umeenda umeendaje? Rejea post yangu uone umri wangu!. Nimeona ndugu zangu wameoana bila kujal level ya elimu na wanaishi maisha yenye furaha sana hata zaidi ya hao wanaojali level kubwa ya elimu. Mtu anaejielewa sio lazima awe kasoma sana.
 
humu sitaki nataka wengi,ngoja apate mume mtoe macho hapo,haina kipimio ujue imeenda maili ngapi?lol😱😱😱
 
Weka picha yako au jielezee ulivyo
 
Habari zeni wakuu, natumani hamjambo na mkiendelea na maisha kwa rehema ya mungu wetu. Nina miaka 27, sina mtoto, niko chuo mwaka wa mwisho( 1st degree),nataka kuwa mmke, kama kuna yeyote anaetaka kuwa mme pia ningetamani aje tuyajenge. Awe na sifa zifuatazo;
Awe mkristo;
Awe na umri kuanzia miaka 31 had 40;
Awe na shughuri yoyote yenye kumuingizia kipato;
Awe anajua walau kusoma na kuandika;
Asiwe muongeaji sana;
Asiwe na mke;
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja.
Mi najua kuandika, kuhesabu na kuandika na nina mtoto mmoja tu karibu
 
We Una Miaka mingapi? Mkuu

IMG_20160919_143029_040.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom