Recent content by M.2

  1. M.2

    je wajua?

    Arnold schwarznigger ni muwekezaji Tanzania ana hotel sumbawanga na anafika mara kwa mara Chukua hyo ndo natoka hotelin kwake tym hi tembea uone
  2. M.2

    Wasifu wa Mama Salma Kikwete

    unataka kumwajiri
  3. M.2

    Kazi tsd

    unamaanisha Teaching Service Department
  4. M.2

    Serikali tupeni mishahara yetu

    sErikali ya nchi gani?????? mbona mbeya vijijini mshahara tumelipwa na umeisha we uko wapi
  5. M.2

    Vituo vya kuchezea PlayStation na hatima ya kizazi cha sasa

    Kuna kipindi nilitaka kufungua kijisehemu cha watoto kucheza game (hata mi napenda sana game)lakini kuna siku nilienda cafe nikakuta dogo kavaa uniform anacheza game mpaka amejikojolea kwenye kiti na ameng'ang'ana hpo nikaachana kabisa na huo mpango mana nikaamini nitahikumiwa kwa kuharibu...
  6. M.2

    MBUNGE WA CCM anayelelewa na wake zake kwa biashara ya mama ntilie

    ushahidi umekutia hatiani tulia mh mbunge mstaafu ila acha kutupotosha kuwa umesingiziwa, wakmbushie wenzio wa ccm kina kinanda wawaache tembo wetu kuna siku yatawakuta kama yaliyokukuta hata kama sio leo kila uovu utalipwa
  7. M.2

    Kauli ya upendeleo ya rais Kikwete clouds fm

    Clouds bwana ni kama maji si kwamba naitetea lakini inavyoonekana asilimia kubwa ya wanaoiponda ndo wasikilizaji wakubwa ndo mana wameisikia hata hyo jingle ya rais lakini wakija jf wanatoa mipovu kama wamebwia sabuni ya unga huyo founder wa jamiiforums anaielewa clouds ndo mana alikuwa mmoja wa...
  8. M.2

    Joto la mishahara: ‘Viongozi utendaji dhaifu, kipato kikubwa’

    huo usiri ndo unaotuponza kila kitu kiwe wazi nijue mbunge wangu anaposinzia kwenye vikao analipwa kiasi kwa kuuchapa usingizi
  9. M.2

    NDEGE YAPOTEA mazingira ya kutatanisha

    labda wameichukua wenye nayo
  10. M.2

    Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

    huko kwenye ndoa mtaenda kuvumiliana na si kupendana
  11. M.2

    CHADEMA tutaendelea kuwafukuza Wasaliti na Bweha wadogo;Katibu wa CDM Mkoa Arusha!

    Dhambi ya ubaguzi itaanza kuwatafuna wenyewe baadae mtatengana wachanga na wapare, wakibosho na wamachame,mchukueni na lyatonga muunganishe nguvu
  12. M.2

    Mwenye taarifa huko serikalini jamani mshahara wa mwezi nov kimya!

    ndo mana hata mkitangaza migomo mnashndwa kuitimiza mana hata pesa za kuwawezesha kuish mwez mmoja mbele hamna inatakiwa kutengeneza mazingira ya kuwa na pesa itakayokuwezesha kuishi miezi 6 mbele
  13. M.2

    Uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

    Ngojeeni mapya yaibuke
Back
Top Bottom