Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Heeee mama kumbe ushenzi uliuanza zamani..........

Kama mama aliuchuna ujue hiyo tabia imo ndani ya familia
 
Ni wako na jamii au ni wako peke yako? Maisha ni weye naye tu. Angalia kama anazo sifa zinazostahili. Tabia isikuzingue umwache uje kumkuta na mtu ukazimia bure. Sifa nyingine anazo? Mke kioo banaa kila ukipita naye mimacho iwatoke njiani wameze mate. Ila kama hana uso, na figure, ukiongeza ulimi kaka si utajitundika? Unatakiwa useme, kakosa ulimi tu. Jaza menyewe
 
Walishasema humu mabingwa wa kufikiri kwamba wanawake wa kiafrika hawajui kupenda bali wivu tu ndio unawasumbua..tafakari..
 
We ndo unamjua vzr kuliko cc, so ucmuhukum m2 kwa baya 1 tu. Angalia kukufanyia mazuri mangapi na mabaya mangapi ndo uchukue maamuzi. huenda ilikua ni wivu tu. samehe 7 x 70
 
Si unaeza oa hadi wafike 4? Oa tu akileta nyodo tupa kule leta substution
 
Huyu mlikutana wapi?bar au mitaa ya Ohio? Au kwenye night clubs?
 
Usimlaumu sana inawezekana ndo familia yao ilivyo..kuna baadhi ya familia aisee ukisikiliza mazungumzo yao hauwezi kuelewa nani mkubwa nani mdogo....sasa sijui wakiolewaga wanakuaje!

Familia ya kiarabu hii
 
huko kwenye ndoa mtaenda kuvumiliana na si kupendana
 
Changes is beggins with you!!
lakin tambua nyota njema huonekana asubuh na wakati wa kuzama sio wakat wa kujifunza mbinu za kuogelea
 
kwa urahisi huyo sio mke huyo ni kama changu kivipi anaonyesha anamaneno sana na pia wanayo wao ya chinichini wao kwa wao na kama mama yake anajiamini hivyo basi jua na mwanae kuna mahali yuko. sasa kwanini achukie ukiwa unaongea na dada yake tena wa damu hata kama hawapatani kaa karibu na dada yake yaweza akakueleza mengi sana na usiwe una mwamini huyo mkeo maana sio wa kawaida niwa uswazi yani hata ukioa ndo utajua mbivu na mbichi iko siku ata anza tabia kuzianika live.
 
Piga Chini maisha yenyewe magumu haya tukiongeza na stress si tutakufa!
 
Kaka kimbia kama umeona ukoma vile, kwa style hiyo hapo hakuna mke. Hujamuoa tu anakuwa na majibu ya hivyo, ukimuweka ndani si ndio hata wewe atakutukana mbele ya ndugu zako. Kama kweli anaweza mwita mama yake mzazi mshenzi, hao ndugu zako ndio atawaheshimu kweli? MKuu hapo hakuna mke kabisa, chapa lapa when its still early
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom