Uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Uimara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo

ni nan mwenye uwezo wakufany mambo makubwa na mazur aliyokifanyia chama ZZK tangu aanze ubunge, pamoja na mapungufu yake? kwamm sioni mbadala mana babu(dr. slaa) ndo huyo anaelekea kufa kisiasa
Mbona Zitto anaonekana marehemu kwa sanaa bdokushusw tu kaburini
 
marehemu chadema, rest in peace!!!!!!! tulikupenda lakini wachaga wamekupenda zaidi, to hell
Kwa kweli wachaga wanapigiwa promo babu kubwa kwamba wao ndio kubwa lao nchi hii mmh jamani wale wabunge na madiwani wachaga wa CCM hamuwaoni,mawaziri na watendaji kwenye serikali ya CCM munawaitaje CCM-Chadema munashangaza sana ,hivi na wao waseme CCM ni ya w.akw.ere manake CC yumo Ridhiwani, Salma, Jakaya,Mohamed,Halani,Miraji,Mwanaasha,Tatu,Rashid ,robo tatu ya vti vya CC ni familia ya KiKwete hongera wakwere mumekamata usukani
 
Usipoelewa maana halisi ya ya Demokrasia ni taaaaabuu kweli,
Ni ukweli usiopingika CDM imekua kuanzia juu kurudi chini tofauti na CCM ambayo Mwalimu aliikuza kuanzia chini kwenda juu.

Hebu fikiria huyu mtu (Joseph Y. Patrick


+255713802226


Mwenyekiti wa chadema wilaya/jimbo Temeke
Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Temeke
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Taifa
Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa) ana lundo la vyeo,.
Hebu tujiulize na CDM ituambie,huyu kweli alisitahiri kuwa kiongozi?
Au ushamba wa technologia nao unatusumbua?
Kwa akiri ya kawaida tu,kuna namna ya kuwasiliana,je huyu kiongozi amefundishwa namna ya kuwasiliana? Au kwa sababu ya lundo la vyeo alivyo navyo anaweza tu kuwasiliana na jamii bila utaratibu?
Naye akifukuzwa unaanachama mseme viongozi wa Chadema wabaya?
Unadhani hata ZZK akiwa Mwenyekiti atakubali awe na watu wapumbavu kama huyu Joseph Patrick?
Au anatafuta umarufu kwa Zitto na kujipendekeza?
Shame on us,ukiwa na viongozi wanaotumia spinal cord kufikiri kama huyu jamaaa bora tu turudi CCM!,maana haingii akilini kiongozi mwenye vyeo vyote hivyo ati naye ana lalamika kwenye mitandaoo,kwa faida ya nani?,Huyu naye hana pakusemea ili ajenge?,Naye hawezi kusikilizwa mpaka andike tamko ndani ya jamii forum?

Nchii bado inasafari ndefu sana,Mungu atusaidie.

Ushauri wangu kwa Joseph Patrick ,hapaswi kuwa kiongozi hata wa familia yake wa familia yake mwenyewe,maana hata sita kwenda kulalamika kwa jirani ati mkewe akafa.........!!!

Shame on you,Jifunze namna ya kuwasiliana siyo kurupukia kwenye mitandao.
Pia nakuomba ujihudhuru hivyo vyeo maana itakuwa ulikutana navyo tu kwa bahati mbaya kwa sababu CDM inakua kutoka juu kwenda chini,hivyo vyeo bila shaka vilikudondokea ukiwa juha huna hili wala lile.

Poleni CDM.
 
Kazi za kupigia picha! Bila picha hakuna kupiga kazi!

Nyie magamba hamjawahi kusikia msemo wakiswahili usemao CHEMA CHAJIUZA LAKINI KIBAYA CHAJITEMBEZA? Tumieni akili kidogo kwani wapiga kura wa leo wamechoka na hadaa za magamba!!!
 
Chadema ilishakufa kitambo bado kuuza wala halina ubishi kabisa.
 
Nyie magamba hamjawahi kusikia msemo wakiswahili usemao CHEMA CHAJIUZA LAKINI KIBAYA CHAJITEMBEZA? Tumieni akili kidogo kwani wapiga kura wa leo wamechoka na hadaa za magamba!!!
Kwahiyo slaa anavyotapatapa kila leo ujerumani na denmark anajitembeza au unamaanishi nini mkuu tusaidie.
 
Usipoelewa maana halisi ya ya Demokrasia ni taaaaabuu kweli,
Ni ukweli usiopingika CDM imekua kuanzia juu kurudi chini tofauti na CCM ambayo Mwalimu aliikuza kuanzia chini kwenda juu.

Hebu fikiria huyu mtu (Joseph Y. Patrick


+255713802226


Mwenyekiti wa chadema wilaya/jimbo Temeke
Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Temeke
Mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Taifa
Mjumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa) ana lundo la vyeo,.
Hebu tujiulize na CDM ituambie,huyu kweli alisitahiri kuwa kiongozi?
Au ushamba wa technologia nao unatusumbua?
Kwa akiri ya kawaida tu,kuna namna ya kuwasiliana,je huyu kiongozi amefundishwa namna ya kuwasiliana? Au kwa sababu ya lundo la vyeo alivyo navyo anaweza tu kuwasiliana na jamii bila utaratibu?
Naye akifukuzwa unaanachama mseme viongozi wa Chadema wabaya?
Unadhani hata ZZK akiwa Mwenyekiti atakubali awe na watu wapumbavu kama huyu Joseph Patrick?
Au anatafuta umarufu kwa Zitto na kujipendekeza?
Shame on us,ukiwa na viongozi wanaotumia spinal cord kufikiri kama huyu jamaaa bora tu turudi CCM!,maana haingii akilini kiongozi mwenye vyeo vyote hivyo ati naye ana lalamika kwenye mitandaoo,kwa faida ya nani?,Huyu naye hana pakusemea ili ajenge?,Naye hawezi kusikilizwa mpaka andike tamko ndani ya jamii forum?

Nchii bado inasafari ndefu sana,Mungu atusaidie.

Ushauri wangu kwa Joseph Patrick ,hapaswi kuwa kiongozi hata wa familia yake wa familia yake mwenyewe,maana hata sita kwenda kulalamika kwa jirani ati mkewe akafa.........!!!

Shame on you,Jifunze namna ya kuwasiliana siyo kurupukia kwenye mitandao.
Pia nakuomba ujihudhuru hivyo vyeo maana itakuwa ulikutana navyo tu kwa bahati mbaya kwa sababu CDM inakua kutoka juu kwenda chini,hivyo vyeo bila shaka vilikudondokea ukiwa juha huna hili wala lile.

Poleni CDM.
Mshikaji umechukia kweli lakini siyo wote wamesoma lugha wengine wamesoma hesabu tu.
 
Inashangaza kuona vichwa mbalimbali vya habari vikishabikia sakata la akina Zitto Kabwe kama ndio anguko au mpasuko ndani ya CHADEMA. Binafsi sioni kama kuna mpasuko wala vipande ndani ya CHADEMA ila naona kinazidi kuimarika baada ya kugundua mbinu za usaliti na hujuma ambazo zingefanikiwa zingechangia kukivuruga chama.
amakyasya mlo wa kujaza tumbo uliwao wakati wa misiba, endelea na kula huo mlo huku hujui kama uko kwenye msiba wa kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Mpasuko tayari uko ila hawa watu ambao wametoka kule kwenye mlima na kahawa ndio hawataki kuamini, mmecheza karata zenu vibaya na mkajua watanzania wote ni mbumbumbu poleni imekula kwenu,mimi pia ni mmoja wapo wa waliokuwa die hard supporter wa wa cdm lakini tangu nimeona mambo yalivyokwenda juzi na ubaguzi wa waziwazi wa kidini na kikabila aliyefanyika Zito pamoja na the party leaders openly suppression of freedom of speech and democracy as a whole in a political oraganisation which champion itself in fighting and advocating democracy and openess in the country but failing miserably in implemanting and holding the same value in their own organisation is quite a big shame.I have made my mind now and im no longer a chadema supporter, I leave the the party to its favoured and so called owners Mtei and his tribals cocoons.
 
Hakuna cha said arfi wasaliti kwetu Ng'o.bebeni vilago nendeni kwa majangili na mauza madawa ya kulevya na a.k.a MAFISAD
 
Inashangaza kuona vichwa mbalimbali vya habari vikishabikia sakata la akina Zitto Kabwe kama ndio anguko au mpasuko ndani ya CHADEMA. Binafsi sioni kama kuna mpasuko wala vipande ndani ya CHADEMA ila naona kinazidi kuimarika baada ya kugundua mbinu za usaliti na hujuma ambazo zingefanikiwa zingechangia kukivuruga chama.

kweli kabisa mkuu hawa watu hawakitakii chama chetu mema kabisa wee kausha tu tarehe 18 hivi kabla ya kuhesabiwa tukutane machame kwenye kikaoo na muasisi kujipongeza kwa kuwaondoa wakuja kwenye chama chetu maana walikuwa ni hatari sana hawa watu
 
ZZK anaponzwa na ujana ana tamaa kuwa na hela nyingi na siasa nayo anataka.Sasa wapi na wapi
 
Back
Top Bottom