Recent content by lynne

  1. lynne

    Kiongozi wa machifu Tanzania ataka Serikali iwatambue rasmi machifu

    Upuuzi kabisa huu. Wabaki maporini huko huko
  2. lynne

    Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

    Happy new year [emoji4] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. lynne

    Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

    Huyu dada mnamsimanga sana ila ni mtafutaji sana. Sitasahau nakumbuka kipindi katlyn ana miez sijui mi3 ile dada wawatu alikua anapiga nae trip za mbugani huko. Mwenyewe. Mumewe alikuwa wapi mdada anachakarika na kichanga mradi kutafuta pesa. Give her some RESPECT. Inawezekana hujui anachofanya...
  4. lynne

    Tetesi: Wakishamaliza kumuangamiza January Makamba, wanahamia kwa Selemani Jafo

    Huyo anaeandaliwa, akifa 2024 itakuwaje[emoji276][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
  5. lynne

    TANZIA Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Abraham Mengi afariki dunia akiwa Dubai, UAE

    Njia yetu ni moja tulitoka mavumbini na tutarudi mavumbini. RIP
  6. lynne

    gospel music download site

    Asanteee
  7. lynne

    Matumizi ya Bible App Kanisani na mitazamo hasi

    Sanaa.....kuna app ukisoma ukalinganisha na Biblia yako unakuta lugha tofauti kabisaa.
  8. lynne

    Matumizi ya Bible App Kanisani na mitazamo hasi

    Ni kweli ndo maana tunajadili.
  9. lynne

    Matumizi ya Bible App Kanisani na mitazamo hasi

    Yes na hata sasa hawa developers wa hizi app hatuwafahamu hatujui imani zao maana wengine wapo ki biashara zaidi je wakiondoa mistari au wakabadilisha maneno maana ubaya wa Biblia ukibadili neno moja tuu umebadili kitu kikubwa sanaa.
  10. lynne

    Matumizi ya Bible App Kanisani na mitazamo hasi

    Kuna respect fulani tunayo kwenye Biblia hardcopy ambayo kwenye simu haipo. Simu ina distractions nyingi sana huwezi kuwa na utulivu kiasi hiko na sio wote na wakati wote mtu utaweka airplane mode kuna kujisahau pia. Pia tuwaze hizi app ziko nyingi sana tunajuaje kama app unayotumia ni maandiko...
  11. lynne

    Peter (P-Square) amtusi Diamond "stupid"

    Savages [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  12. lynne

    Ogopa sana mafuta ya upako na maji ya baraka toka kwa manabii na mitume wa kileo

    "someni bible acheni kusomewa" hapa ndo kila kitu. Tutafute fellowship na Mungu na sio shortcut za miujiza
  13. lynne

    Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

    Kuna kitu wanaita Soul tie naona mtoa mada ushanasa huko..... [emoji20][emoji20]
Back
Top Bottom