Ninyi wazee wa ccmmmebakia kutusimulia hadithi za kizamani tunazozifahamu. Uzuri nilikuwepo najua unayoyasema, nafahamu jinsi shule za sirikali zilipolazimika kufungwa kwa kukosa huduma za msingi km maji, chakula, umeme, nk. Nafahamu pesa ilivyomwagika mtaani kama makaratasi yasiyo thamani...
Watu wote hatulingani mtazamo, ndo maana utakuta mwingine anamtetea kibaka, mwingine anavamia na kuua Kisha anafutlrahia. Mwingine anaona kinyaa hata kumwona kuku akila mahindi yake, so kila mmoja anamwono wake, nawe unapenda kutetea yakuoendezayo kwa huyo zero brain
Gamba limetoka ingawa kwa shinikizo ndani ya Watanzania na mchezo ya siasa za makida makida za ndani ya ccm. Yasadikika sasa mh. Rz yupo Uswisi anapumzika baada ya siasa za mchosho. Je, nikweli kutoka kwa Rostam ni Gamba kuvuka au kujaza visasi? ua Je kutoka kwake ni mafanikio ya slogan na Nape...
Nimesononeka sana kwani nijuavyo mimi unaweza orodhesha sifa milioni moja na kesho interest zako zikagota kwa m2 usotaraji, Ok kila rakheri bebiiiiiiiiiiii..........
Jana Sitta na waheshimiwa wenzake walikuwa Mbeya wakiongea na wasomi wa vyuoni. Hilo siyo tatizo kwangu ila ninachojiuliza matamshi aliyoyachana jana yameendelea kuiwekapaya sana agenda ya mh. sana bwana mdogo Ngeleja, ambaye mpaka sasa anajivuna kwa kuwa na mipango mingi wizarani kwake bila...
kama sura zilivyo tofauti, mawazo tofauti na fikra pia basi hata huyu naye ni tofauti na wengine. Halafu si wajua wenzetu walivyo kwa mapambo? Ukizingatia na posho za vihela vya migawo ya nauli nje ya bunge zipo sasa azifanyie nini kama hakuwakuta wananchi wake nje ya mjengo?
NI HALALI ACHA TU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.