The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Juzi nimemuona mkurugenzi wa MSD akihojiwa kwenye kipindi cha Clouds360....akaulizwa kuhusu viwanda vya madawa vya hapa nchini cha ajabu akataja viwili tu....MansoorDaya na Zenufa kama nilimsikia vizuri.
But ninavyofahamu kiwanda kikubwa kabisa cha madawa hapa nchini ni shellys.
sio tu kikubwa Tanzania but ni mojawapo ya viwanda vikubwa Africa Mashariki.
Hawa wana branch DRC au nchi ingine ya Afrika niliwahi kusikia...
But habari za mitandaoni zinasema hawa shellys wanapunguza wafanyakazi
na baadhi ya raw materials wanazoagiza zinashikiliwa huko Bandarini...
Huku unaona Rais anasisitiza kuwepo na viwanda vya madawa ili nchi ijitegemee kwa dawa.
Najikuta nina maswali kibao ya kujiuliza.
1. Hawa Shellys wana ugomvi gani na Serikali?
2. Shareholders au wamiliki wa kiwanda hiki ni kina nani?
3. Whats going on?
But ninavyofahamu kiwanda kikubwa kabisa cha madawa hapa nchini ni shellys.
sio tu kikubwa Tanzania but ni mojawapo ya viwanda vikubwa Africa Mashariki.
Hawa wana branch DRC au nchi ingine ya Afrika niliwahi kusikia...
But habari za mitandaoni zinasema hawa shellys wanapunguza wafanyakazi
na baadhi ya raw materials wanazoagiza zinashikiliwa huko Bandarini...
Huku unaona Rais anasisitiza kuwepo na viwanda vya madawa ili nchi ijitegemee kwa dawa.
Najikuta nina maswali kibao ya kujiuliza.
1. Hawa Shellys wana ugomvi gani na Serikali?
2. Shareholders au wamiliki wa kiwanda hiki ni kina nani?
3. Whats going on?