Recent content by Lwakitwe

  1. Lwakitwe

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    kwa maelezo yaliyototewa mkuu wangu yazingatie kwa umakini isitoshe na website yao inafunguka vizuri usikubali kutoa rushwa.Rushwa ni adui wa haki fuata taratibu zote utafanikiwa
  2. Lwakitwe

    Nifanyeje ili na mimi nionekane mtanashati?

    mimi napita tu maana mimi ni pure sina cha mtana shati wala mtana blauzi
  3. Lwakitwe

    Kakakuona aonekana Dar

    asante kwa kuweka picha maana naona wengine wanabugi na kuanza kuchanganya mada
  4. Lwakitwe

    Sherehe ya FGBF kutimiza Miaka 25 itafanyika 02.08.2014 hadi 09.08.2014.

    Siku zote shetani anatumia watu kujitambulisha sasa huyu ndugu yangu anayeita fgbf takataka ni miongoni mwa maasimu wa shetani.kwa mtoa mada ameelezea dhamila yake na ni furaha kwa wana FULL GOSPEL BIBLE FELLOWSHIP na mimi nikiwa miongoni mwao.Sisi ni mashujaa na tutabaki kuwa mashujaa SHALOOOM...
  5. Lwakitwe

    vyuo vinafunguliwa lini?

    nisaidie ndugu zangu bila elimu maisha ni magumu
  6. Lwakitwe

    vyuo vinafunguliwa lini?

    habari zenu wana jamvi kwanza natanguliza shukrani zangu kwenu wana jamvi kwa ushirikiano wenu mchango wenu ni mkubwa kwangu. Nawaombeni mnisaidie kwa hili mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha nne mwaka 2009 nikapata point 28 sasa nimejiunda nataka nijiunge na chuo cha UANDISHI wA HABARI kama...
  7. Lwakitwe

    BAJAJI (TVS King)

    Nitakutumia namba ya rweyemamu anauza bajaji yake kwa bei nafuu
  8. Lwakitwe

    Nijuze ndugu zangu familia isije ikanitenga

    hapa najua akina muganyizi ,kokutona,rweyemamu,mshaija emanzi,lazima mtanisaidia
  9. Lwakitwe

    Nijuze ndugu zangu familia isije ikanitenga

    habari za asubuhi wana jamvi nimatumaini yangu kwamba hapa ndo mwisho wa suluhisho la tatizo langu kuna maneno mpaka sasa hivi sijapata maana yake naomba kusaidiwa. Kwa moyo mmoja nayawasilisha maneno haya hapa ORUSHENGO;AKATABULANE;EIBUBA;KIJUTA;ENDWANO. Kwa ufupi mwenye kujua maana yake...
  10. Lwakitwe

    Milio ya kuruwani kwenye simu marufuku

    kwa hili mimi napita tu
  11. Lwakitwe

    TANZIA: Mwana JF amefariki dunia

    Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi Amen
  12. Lwakitwe

    atimaye imetimia

    ccm wana msimamo wa serikali mbili kwa hili swala katiba apatikani ng'o hata kwa bahati mbaya
  13. Lwakitwe

    atimaye imetimia

    tujenge hoja sio matusi watunzi wa katiba ni sisi wenyewe
  14. Lwakitwe

    atimaye imetimia

    majanga tu huko bungeni comedy tu ila naomba matusi tuyaache tushindane kwa hoja asanteni
  15. Lwakitwe

    atimaye imetimia

    hapo ndo umegusa penyewe kwa sababu watanzania tulio wengi mawazo yenu ni tegemezi na hawa wenye akili zao wazungu watazidi kututawala kifikra na kiakili tujikwamue watanzania
Back
Top Bottom