Kakakuona aonekana Dar

Kakakuona aonekana Dar

Hii nchi inaendeshwa kiutabiri tu! huyo kaka kuona ningempata ningewaliza wajinga wengi sana, ningezalisha vibatari na mishumaa mingi tu kwa jiji la dar, halafu ningeipambanisha na balbu ya umeme, baada ya hapo ningewatangazia wana dar es salaam kuwa kaka kuona ametabiri ukosefu wa umeme kwa miezi 6, najua ningewapata wajinga wengi tu.
 
View attachment 178144
Khaa! CDM kweli mnahamu ya kujua lini zamu yenu, ina maana wenzetu tayari mbio hadi kwa mama Mwita na kadi zenu sijui bendera kakakuona awatabirie mtakuwa mko desperate sana, lakini the late Paul the octupus na yeye si aliwatabilia ushindi whatever happened to that prediction.

Anywayz mama Mwita kaula maana kakakuona kamfuata mwenyewe nyumbani, sijui ingekuaje angekutwa mitaa ya ufipa.

Ndugu zangu nchi haiongozwi kwa tabiri za wanyama na wala tabiri za wasoma nyota,viganja na vitabu vyao. Hata tawala za kale hazikusimikwa kwa tabiri bali kwa maagizo ya mwenyezi Mungu peke yake au kupitia kwa wateule wake. Chama chochote cha siasa ili kiweze kiweze kushinda nafasi yoyote ni lazima kiwe na sera nzuri zitakazokubalika kwa wananchi walio wengi, uwezo wa kuongoza na sifa nyinginezo.Siku zote ushindi ni sayansi na mahesabu. Ushabiki tunaouona kwenye siasa mara nyingi hausaidii na unawaaminisha kinyume kabisa viongozi wa kisiasa. Tuliyaona sana kwenye chaguzi zilizopita na matokeo yasiyotegemewa.
 
Ndugu zangu nchi haiongozwi kwa tabiri za wanyama na wala tabiri za wasoma nyota,viganja na vitabu vyao. Hata tawala za kale hazikusimikwa kwa tabiri bali kwa maagizo ya mwenyezi Mungu peke yake au kupitia kwa wateule wake. Chama chochote cha siasa ili kiweze kiweze kushinda nafasi yoyote ni lazima kiwe na sera nzuri zitakazokubalika kwa wananchi walio wengi, uwezo wa kuongoza na sifa nyinginezo.Siku zote ushindi ni sayansi na mahesabu. Ushabiki tunaouona kwenye siasa mara nyingi hausaidii na unawaaminisha kinyume kabisa viongozi wa kisiasa. Tuliyaona sana kwenye chaguzi zilizopita na matokeo yasiyotegemewa.
Kwani Mwenyezi Mungu hawezi kutumia viumbe wake aliowaumba kufikisha ujumbe kwa waja wake?
 
hakili hamna kweli cdm hakita pata wabunge zaidi ya 10 magaidi nyinyi tunataka sera siyo hao wanyama wenu mmefirisika kisiasa mnatafuta pa kutokea

mpuuzi mkubwa! chama cha maiti (ccm) kina sera gani na kimefanya nini tangu mwaka 61 mpaka leo unachojivunia? kafie mbali mwehu mkubwa!
 
View attachment 178144
Khaa! CDM kweli mnahamu ya kujua lini zamu yenu, ina maana wenzetu tayari mbio hadi kwa mama Mwita na kadi zenu sijui bendera kakakuona awatabirie mtakuwa mko desperate sana, lakini the late Paul the octupus na yeye si aliwatabilia ushindi whatever happened to that prediction.

Anywayz mama Mwita kaula maana kakakuona kamfuata mwenyewe nyumbani, sijui ingekuaje angekutwa mitaa ya ufipa.

acha kuhororojoka bure, leta hoja sio blabla. cdm ndio tumaini jipya la watanzania. mnataka ccm waendelee kutumasikinisha mpaka lini? revive yourself corpse!!
 
Ngamia mwenyewe alikosea
Wana chadema mtaumia sana 2015
 
Hata lugha umekopa kwa huyo Mbembe wenu ? Mwambie aache posho za Bunge na PAC kama ataweza kuishi .........aka jenge hicho chama cha viongozi ambao hawana wanachama ACT ...

Wewe zwazwa wewe unategemea kakakuona sio Sera nzuri
 
hakili hamna kweli cdm hakita pata wabunge zaidi ya 10 magaidi nyinyi tunataka sera siyo hao wanyama wenu mmefirisika kisiasa mnatafuta pa kutokea

tatizo la kukimbia elimu maridhawa na kwenda kujiunga vikundi vya chipukizi chini ya ccm
 
Kama ushindi unapatikana kimiujiza sawa! ila kama ni kwa kura! CHADEMA wasijidanganye!

kura utazipiga wewe? mwendawazimu mkubwa! wewe kura yako hiyo moja kaipeleke kule lumumba, sisi tusiokuwa na vyama na tusiokuwa na ushabiki wa kimsukule kama wewe tunaona CHADEMA ndio tumaini jipya kwa watanzania na tutawapa kura za kishindo mwaka 2015. elewa kwamba kuna watanzania milion 45, na wanaccm wote nchi nzima hawazidi milion 2. nyie jipigieni kura zote milion 2 na hizi kura milioni 43 tunazipeleka CHADEMA, na msitarajie kwamba mwaka 2015 hatutajitokeza kupiga kura kama ilivyokuwa 2010. tumechoshwa na utumwa wa ccm, uchaguzi ujao lazima kieleweke. tutajitokeza kupiga kura mpaka mshangae...wala kakakuona hajakosea, alichotabiri ndicho kitakachowakuta 2015. anza kujiandaa kisaikolojia kuwa chama cha upinzani.
 
habari ya Leo ni mauaji ya wangwe ambayo mbowe .slaa.waliyapanga ili waendelee kunufaika

hizo story za wanyama peleka kwenye vijiwe vya kahawa

... Au Umekasirika Kwavile Ameikubali Chadema
 
asante kwa kuweka picha maana naona wengine wanabugi na kuanza kuchanganya mada
 
Duhh ,,,mpaka wanyama wanaikubali Chadema , wewe binadamu mwenye akili timamu unasubiria nini?

Habari inatuambia vijana walifanya utani na hakuna sehemu yoyote mwandishi alipoandika au kushuhudia kuwekwa kwa bendera ya ccm na cdm.
 
kura utazipiga wewe? mwendawazimu mkubwa! wewe kura yako hiyo moja kaipeleke kule lumumba, sisi tusiokuwa na vyama na tusiokuwa na ushabiki wa kimsukule kama wewe tunaona CHADEMA ndio tumaini jipya kwa watanzania na tutawapa kura za kishindo mwaka 2015. elewa kwamba kuna watanzania milion 45, na wanaccm wote nchi nzima hawazidi milion 2. nyie jipigieni kura zote milion 2 na hizi kura milioni 43 tunazipeleka CHADEMA, na msitarajie kwamba mwaka 2015 hatutajitokeza kupiga kura kama ilivyokuwa 2010. tumechoshwa na utumwa wa ccm, uchaguzi ujao lazima kieleweke. tutajitokeza kupiga kura mpaka mshangae...wala kakakuona hajakosea, alichotabiri ndicho kitakachowakuta 2015. anza kujiandaa kisaikolojia kuwa chama cha upinzani.

Endelea kujidanganya!
 
Back
Top Bottom