Kwani tulikuwa wapi mpaka uulize tunakoenda!!baada ya wabunge kuendelea kupingana wao kwa wao wananchi walio wengi wamekimbia na kuacha kufuatilia mijadala inayoendelea kupitia luninga zao.
Asilimia kubwa ya watanzania wameacha kufuatilia bunge kupitia luninga je kwa hali hii tunaenda wapi watanzania wenzangu ?