Kitu pekee ninachomkumbuka huyu jamaa,nikiwa Mwanafunzi Mtendeni Shule ya msingi nilikuwa naja kupanda Basi kariakoo badala ya Posta kutokana na upendeleo wake kwa Wanafunzi
Vigezo vilikuwa wenye vyeti vya kidato cha nne,sifa nyingine ni kwenye usahili suala la afya ni muhimu, nafasi ni chache waombaji ni wengi nakushauri dogo asikate Tamaa.
Ninachojua sera nzuri ya matumizi bora ya ardhi tunayo,tatizo lililopo ni wasimamizi wetu.Hivi inashindikana vipi kupata takwimu za mifugo waliopo katika kila Kijiji Nchini na uwezo wa kijiji husika kuwahudumia Mifugo hiyo,Hapa kinachohitajika ni kufanya maamuzi tu kuanzia ngazi ya Vijiji hadi...
Kinahoshauriwa kwa sasa kama una Gari lako ni Bovu hulitumii, ni vizuri ukatoa taarifa kwenye ofisi za TRA hapo utapewa utaratibu,vinginevyo utaendelea kudaiwa kodi hata baada ya miaka mitano,na ikitokea wamekamata Gari yako nyingine watalishikilia mpaka ulipe Kodi unayodaiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.