Arsenal yaondolewa rasmi kwenye mbio za ubingwa EPL

Tofauti ya pointi 9 na aliye juu kwa mechi 17 ndio matumaini ya ubingwa yameisha?? Unasahau kuwa ligi ina jumla ya mechi 38.. inaonekana umetawaliwa na hisia na mihemuko na sio uhalisia..
 
Tofauti ya pointi 9 na aliye juu kwa mechi 17 ndio matumaini ya ubingwa yameisha?? Unasahau kuwa ligi ina jumla ya mechi 38.. inaonekana umetawaliwa na hisia na mihemuko na sio uhalisia..
Nyie hata kama ndio mngekuwa mnaongoza ligi
Baada ya mechi ya 38 nafasi yenu huwa ipo pale pale..!!
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom