Hatimaye mikopo yaanza kutolewa kwa watumishi wa umma

Nayo watakanusha.
Ila sasa, kuna taarifa zingine serikali imekuwa ikitoa na kujikanusha inapoona wananchi tunalalamika sana lakini huwa kinatekelezwa kinachokanushwa.
Mfano:
  1. Kuna taarifa kuhusu serikali kuajiri walimu wa sayansi tu, wa arts wataajiriwa kutokana na uhitaji. Nilisikia waapo redio lkn serikali ikakanusha. Ukweli ni kwamba watakaoajiriwa ktk fani ya walimu ni wale wa masomo ya sayansi(wakati walikanusha)
  2. Ongezeko la VAT kwenye huduma za kibenki na kwenye mitndao ya simu tuliaminishwa kuwa kodi hiyo atailipa mfanyabiashara, sio mteja kama wachambuzi walivyokuwa watueleza. Lkn uhalisia ni kuwa tunaisoma namba vizuri tu.
Kinachokanushwa ndicho hutekelezwa
 
Naomba tuorodheshe ribs za kila benki ili wengine tupate uelews: nmb ,Crdb, postal bank,exim bank, BOA, DCB,walimu bank na nyinginezo ili tupate uelewa
 
Tatizo la serikali yetu kila mtu akilala anafikiria kesho akatoe tamko gani ili naye aonekane kuwa yupo busy. Maamuzi kawaida ni baada ya makubaliano katika kikao cha wahusika ili wote mnakuwa na jibu moja na utekelezaji wake unakuwa na ufanisai.

lakini leo mmooja atasema hili kesho mwingie anakanusha lililoongelewa jana!!!!!!!!!!!

ndio maana huwa kuna msemaji mkuu na sio kila mtu anafanya maamuzi yake.

Mfano kuna kiongozi mmoja alitoa tamko kuhusu wafanyabiashara ndogondogo maeneo yasiyo rasmi mfano pembeni yabarabara. Wakai watendaji wanatekeleza hili akaibuka mwingine na kusema waacheni waendelee msiwafukuze!!!!!!!!!!!! Hapa napata kigugumizi mwenye mamlaka ya kutoa maamko ni nani katika serikali hii ya awamu ya tano.

Na mimi ninataka kesho nikatoe tamko katika vyombo vya habari kuwa MWAKA HUU HAKUNA KUSHEREHEKEA KRISMASS NA MWAKA MPYA!!!!!!!!!!! NITASEMA SABABU NI ZA KIUSALAMA.

NAJUA WATENDAJI WATATEKELEZA TU NA KUPIGA MARUFUKU.

Kwa sababu kila mtu anaweza kutoa tamko.
duh
 
Riba asilimia 14 NMB ya kweli hayo? Maana ilikua asilimia 21 mwezi wa saba na mwezi wa nane.
IMG-20170106-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom