Recent content by lushalila

  1. lushalila

    JamiiForums Tanzania Kuna katazo la bajaji kuingia katikati ya jiji la Dar Es Salaam?

    Kumekuwepo na usumbufu wa kamatakamata ya bajaji ndani ya jiji la dar es salaam lakini hakuna maelezo kutoka kwa mamlaka, tunaomba wenye mamlaka au yeyote anayejua undani wa sualahili atufahamishe vizuri
  2. lushalila

    JamiiForums Tanzania Kuna katazo la bajaji kuingia katikati ya jiji la Dar Es Salaam?

    Hilo no sawa ,Ila wanakamata unatembea barabarani sio umepaki Kama wengine tunaendesha bolt upski mjini ili iweje?
  3. lushalila

    JamiiForums Tanzania Kuna katazo la bajaji kuingia katikati ya jiji la Dar Es Salaam?

    Nimekamatwa kamata na wengine fire
  4. lushalila

    JamiiForums Tanzania Kuna katazo la bajaji kuingia katikati ya jiji la Dar Es Salaam?

    Wanajamii forum, Toka wiki iliyopita kuna kamatakamata ya bajaji kwa kigezo kwamba kuna katazo la bajaji zisizoendeshwa na walemavu kuingia mjini. Binafsi sijasikia katazo Hilo naomba anayejua zaidi tujuzane.
  5. lushalila

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii-NSSF

    Mimi ni mhanga wa kupoteza ajira kutoka mwaka Jana mwezi wa kumi na moja. Nimefuatilia kupata mafao yangu hadi leo hakuna kinachoeleweka ni kalenda tu. Kila ninayemwona pale anasikitika hakuna anayetoka na jibu la matumaini. Hivi hii ndio sera ya mfuko au ya serikali au ni bahati mbaya tu?
  6. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Niko dsm wapi naweza paya legal officer ? Ninahitaji msaadawake
  7. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Umri wangu ni below 40, nimemaliza mkataba tu na sijapewa mwingine sijalipwa severance ninastahili kisheria? Kama nastahili na sijapewa nifanyeje, au sistahili kisheria?
  8. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Nimamaliza mkataba wangu wa miaka mitano, nastahili kupata hiyo severance?
  9. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Nimamaliza mkataba wangu wa miaka mitano, nastahili kupata hiyo severance?
  10. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Nimamaliza mkataba wangu wa miaka mitano, nastahili kupata hiyo severance?
  11. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu severance

    Naomba wajuzi mnisaidie kuhusu hii haki ya mfanyakazi inayoitwa severance anapewa mtu mwenye sifa gani? Na hili ni takwa la kisheria au ni hisani ya mwajiri? Kama hijapewa unafanuaje? Ahsanteni
  12. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu " severance"

    Naomba msaada kwa mwenye ifahamu wa sheria ya ajira, kuna kitu kinaitwa severance kwa mtu aliye maliz amkataba wa ajira, Inamlazimu mwjiri kukupa au ni hiari tu ya mwajiri. Ahsanten
  13. lushalila

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu "SAVERANCE"

    Naomba kuuliza wenye kujua hii kitu SAVERANCE kwenye sheria ya ajira anastahili kupewa mtu mwenye sifa gani? Ninavyojua kwa mtu mwenye mkataba anapomaliza anastahili kupewa, sasa je kama mwajiri hajakupa ufanyeje ili upate hakiyako hiyo? Ahsanteni
  14. lushalila

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

    Wapendwa wanajanvi napenda kuingia kwenye changamoto ya biashara ya bajaj. Tatizo sijui chochote kiusahihi kuhusu biashara hii. Kuanzia changamoto zake, beizake, zinaripaje. Na hata aina naziona tu barabarani. Ningeomba kama kuna mdau anieleze pia kwa dar es salaam in eneo gani linalia...
  15. lushalila

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kwanini bando zenu za dar supa in zinatofautiana, Luna wanaopewa mb nyingi wengine chache, wengine dakika nyingi wengine kidogo Mala bei nayo inapanda mala inashuka vipi mbona havieleweki Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom