lushalila
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 282
- 109
Mimi ni mhanga wa kupoteza ajira kutoka mwaka Jana mwezi wa kumi na moja. Nimefuatilia kupata mafao yangu hadi leo hakuna kinachoeleweka ni kalenda tu. Kila ninayemwona pale anasikitika hakuna anayetoka na jibu la matumaini.
Hivi hii ndio sera ya mfuko au ya serikali au ni bahati mbaya tu?
Hivi hii ndio sera ya mfuko au ya serikali au ni bahati mbaya tu?