Naomba kuuliza wenye kujua hii kitu SAVERANCE kwenye sheria ya ajira anastahili kupewa mtu mwenye sifa gani?
Ninavyojua kwa mtu mwenye mkataba anapomaliza anastahili kupewa, sasa je kama mwajiri hajakupa ufanyeje ili upate hakiyako hiyo?
Ahsanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.