Mkuu Naomba kuuliza kwanza!Wanajamii folum tokawiki iliyopita Kuna kamatakamata ya bajaji kwa kigezo kwamba Kuna kstazo la bajaji zisizoendeshwa na walemavu kuingia mjini
Binafsi sijasikia kstazo Hilo naomba anayejua zaidi tujuzane
Nimekamatwa kamata na wengine fireMkuu Naomba kuuliza kwanza!
Wakisema Mjini Ni posta peke ake au na kariakoo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo no sawa ,Ila wanakamata unatembea barabarani sio umepaki Kama wengine tunaendesha bolt upski mjini ili iweje?Kwa uwazi kusema ukweli ili miji iwe endelevu lazima kuwepo na sheria, utaratibu na miongozo ya kuweka mambo sawa!, bila utaratibu ni fujo!!! Sasa kama kariakoo ukitembea Kwa waenda Kwa miguu kumezibwa na biashara, parking hakuna boda na Bajaji kila Kona!! Tunaomba tujitahidi kuweka utaratibu tupunguze siasa, hata mlemavu aandaliwe utaratibu kama uwepo wake mahali unaleta kuwazuia wengine lazima kuwe na utaratibu, ulemavu usiwe ticket ya kuvunja sheria!! Njoo barabara ya uhuru Mtaa WA Kongo barabara imezibwa kabisa haipitiki!! Ndio tuseme ulemavu ndio uzuie wengine kupata riziki Kwa kuwahi wanakokwenda!?
Nimeongelea zaida sheria na utaratibu utakaosimamiwa na Sio kuleta tafrani!! Sijasema popote watu wakamatwe hovyo!!Hilo no sawa ,Ila wanakamata unatembea barabarani sio umepaki Kama wengine tunaendesha bolt upski mjini ili iweje?
Wanajamii forum,
Toka wiki iliyopita kuna kamatakamata ya bajaji kwa kigezo kwamba kuna katazo la bajaji zisizoendeshwa na walemavu kuingia mjini.
Binafsi sijasikia katazo Hilo naomba anayejua zaidi tujuzane.