Pole mwl mwenzangu,ila kusoma sio kukwepa mazingira ya pori.Mie miaka mitano iliyopita niliyakimbia lakini baada ya masomo nimehamishiwa porini zaidi pamoja na degree yangu.
Hii ina nipeleka kwa ze comedy kale kwa uzi ka kukopi na kupesti.Amekopi sister Marry ya kinageria wacha apate hasara.Alitoa talaka tatu wakamchunia.Leo kimenuka.
Nina miaka miwili sasa na soma comments hapa jf.Mimegundua inapojadiliwa masuala ya dini na siasa u great thinker upotea na ushabiki huchukua nafasi.unapotaka kujua dini na vyama vyo vya siasa subiri hapo.
Asante sana mura nyelele aliwaogopa kama ukoma.Hata babu yako Rweyongeza amekuwa mkuu wa chuo kikuu baaba ya mshashi mwenzako.salimu wamura wote walioko jeshi la mjukuu wetu Obama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.