Recent content by luseshelo haonga

  1. L

    Wakulima wa Tanzania rekebisheni hili

    Ukitaka kupata faida jishushe huyu jamaa yupo sahihi
  2. L

    Rais Magufuli anaenda tena kuua kampuni yenye ufanisi inayotoa ajira kwa maelfu ya watanzania?

    Sina maana hiyo tusitangulize uvyama katika maslahi ya nchi
  3. L

    Rais Magufuli anaenda tena kuua kampuni yenye ufanisi inayotoa ajira kwa maelfu ya watanzania?

    Hilo suala lilitokea wakati chadema ipo madarakani au mamvi kama unavyomwita alikuwa rais au Tbs ni ya ukawa au mdhibiti wa ubora wa madawa yupo upinzani.fikiri pakubwa ndugu acha ushabiki
  4. L

    Fiesta DSM 2017 Special Thread;

    Haelewi msongo wa mawazo ni nini na unatulizwaje na unasababishwa na nini
  5. L

    Hitaji la taarifa ya fursa za uwekezaji Makambako

    Hata Mimi kuna maharage niliwahi kutumia yana rangi ya damu ya Mzee kipindi nipo mafinga ila ni makubwa kwa punje yanatoa rojo nzito yakiiva na matamu sana sijajua yanaitwaje wala sjawahi yaona tena Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Biashara ya masudu

    Nahitaji gunia mbili mashudu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    Upandishaji wa nguruwe

    Sent using Jamii Forums mobile app
  8. L

    Natafuta shamba dogo Dar au Pwani kwa ajili ya ufugaji

    Kimanzichana bei poa ukihitaji Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    Nina sh 1.5m nataka niwekeze hapa;

    Hayo mashamba yapo Mafinga sehemu gani mi pia nahitaji nielekeze
  10. L

    Msaada kwenye incubator

    Mayai ya bata wape bata mimi nilishindwa kwenye incubator
  11. L

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Add kwenye group la ufugaji nguruwe 0717444591
  12. L

    Natafuta eneo kwa ajili ya shamba kwa bei nafuu

    Unataka kulima nini? maana hiyo itasaidia mtu kukusaidia kwa maelekezo
  13. L

    Naomba taarifa kuhusu soko la mbaazi

    Hii gharama inajumlisha kukodi shamba na mbolea? nipe mchanganuo nategemea kulima songea ruanda
  14. L

    Biashara ya Kuchakata na Kufungasha Unga wa Mahindi (Sembe na Dona)

    Concordile naomba nielekeze used za ujerumani ntapata wapi au nipe contact yako
  15. L

    Natafuta Wateja wa Copper Scraps and Copper Cathode

    nifafanulie scrap ni vumbi la shaba au vipi na cathode pia weka na bei
Back
Top Bottom