Swala la mahakama ya kadh ni swala la msingi kwenye katiba mpya tumelizungumzia sana wala haliusiani na udini msifanye mambo yaonekane makubwa wakati madogo hayo ni maoni ya watu tumetoa na tuna haki ya kutoa maoni yetu kwenye katiba hata wewe kama unamaoni ungetoa sio upinge maoni ya watu walio...
Tutumieni akili kidogo sio kisa wamesema wazungu na sisi tukubali kwa anejua uchuguzi na udhahidi huwezi kuziamini hizo report za USA utakuwa hauna akili ama uataamini katika report yao ni wapi wametoa ushahidi wa phisical kwamba wamekamata hizo hrla chafu hata moja hakuna report yao wamechukua...
hiyo ni kazi kama kazi nyingine kama wateja wangekuwa hawapo wasinge jiuza inamaana wateja wapo na biashara inalipa ndio maan hata kipindi cha mvua bado wapo kwenye biashara
serikali inakosa mapato mengi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.