Ukawa wanapumulia mashine
Nimefurahi kuona wewe ni mmoja wa wanaojua kusoma between lines. Watu wengine wanatoa mapovu tu bila kutafakari. Mjadala bado unaendelea, na kila mmojaanayo hakiya kutoa maoniyake, sasa maonihayohaimaanishindio finalMbona uzi haujitoshelezi,hii ni hoja very sensitive,lakini inaletwa bila maelezo ya kina,aieleweki kama kuna ukweli nndani yake au ni porojo za kwenye vijiwe vya pweza.
Fafanua zaidi.
Ukawa majuha kweli.
Wakiweka mahakama yakiislamu tutaweka mahakama yawakristo. Muislam akinishtaki msikitini mimi nitasubiri kuhukumiwa kanisani hataniona msikitini ng'o.
Muda ni mwalimu mzuri, wakati utasema tu!!!!
Nafahamu yote hayo. Hakuna haja yakunihukumu wakati hujui lengo langu lakuandika hivyo.Ufinyu wa akili tu huo....
Umeskia lini mahakama ya kadhi ikihukumu wasoukuwa waislam? Mahakama ya kadhi inadeal na mambo ya urithi na ndoa, soma sheria za kiislam kabla hujawa na mawazo mgando. Full islamic sharia hairuhusiwi hata katika uislam kuwa implemented kama hakuna Khalifa! Usisikie eti Iran wanatumia sheria za kiislam au saudi ukachukuwa example, sheria zinasimamiwa na Khalifa na sio mfalme au rais. Ondoa shaka, na Khalifa Baghdaad asikutishe, kiislam ukhalifa wake ni baatil
Ndugu zangu wana jf, hatimaye nyundo ya kuwasambaratisha UKAWA imechongwa.nayo ni kuingiza suala la KADHI kwenye katiba mpya. Ukawa mlikuwa na plan b? Kazi kwenu
Ukawa wanapumulia mashine
Mimi ninaomba niulize swali kwa ndugu zangu waislam......
Hasa kwa viongozi wa dini hii
ni kweli watakuwa tayari tuanze kuwakata mikono waislam watakaobainika ni wezi?
Na nani ataajiriwa kwa kazi hyo?
Maana nijuavyo mimi ukiiba unakatwa mkono.....
Ukizini unapigwa mawe hadi kufa.... Sasa hapa ndo tutaanza kuwaumbua viongozi wa dini wanaozini tuanze kuwapiga wao mawe tuone kama watakuwa tayari
hahaahahahhaaaaaaaa.....
haa haa, hivi bado anaunga mkono hoja ya serikali 2?Kardinal Pengo toa tamko mapema baba kabla mambo hayajaenda mbele zaidi!
Ufinyu wa akili tu huo....
Umeskia lini mahakama ya kadhi ikihukumu wasoukuwa waislam? Mahakama ya kadhi inadeal na mambo ya urithi na ndoa, soma sheria za kiislam kabla hujawa na mawazo mgando. Full islamic sharia hairuhusiwi hata katika uislam kuwa implemented kama hakuna Khalifa! Usisikie eti Iran wanatumia sheria za kiislam au saudi ukachukuwa example, sheria zinasimamiwa na Khalifa na sio mfalme au rais. Ondoa shaka, na Khalifa Baghdaad asikutishe, kiislam ukhalifa wake ni baatil
swala la mahakama ya kadh ni swala la msingi kwenye katiba mpya tumelizungumzia sana wala haliusiani na udini msifanye mambo yaonekane makubwa wakati madogo hayo ni maoni ya watu tumetoa na tuna haki ya kutoa maoni yetu kwenye katiba hata wewe kama unamaoni ungetoa sio upinge maoni ya watu walio toa kuhusu mahakama ya kadh usiongee tu kama hujui tafuta maana ya mahakama hiyo inafaida gani ndio useme na ningeshauri kama hiyo mahakama haikuhusu basi kaa kimya usije kuleta uchochezi wa dini.
Wakiweka mahakama yakiislamu tutaweka mahakama yawakristo. Muislam akinishtaki msikitini mimi nitasubiri kuhukumiwa kanisani hataniona msikitini ng'o.