Recent content by Lung'wecha

  1. Lung'wecha

    Ukikaa na mwanamke muda gani ndo sheria inatambua kama ni mke wako?

    Neno Ibara kwa maana ya Article linatumika unaponukuu sehemu ya Katiba au Sheria za Kimataifa kwa maana ya Charter. Tumia neno Kifungu/section unaponukuu Sheria za Bunge/ Acts
  2. Lung'wecha

    SUV gani nzuri kwa Milioni 40?

    Volvo XC90 ina 2500 cc ulaji wa mafuta unakuwaje mdogo?
  3. Lung'wecha

    IST ina tatizo la coolant kutorudi kwenye rejeta kutoka kwenye reserve tank

    Thermostat ndiyo zinatolewa kwa sababu mazingira yetu (Tanzani & Africa generally) ni ya joto. Miji mingi ya Japan ina freeze, mf. Nagoya wanakotengeneza hizi gari hali yake ni baridi muda mwingi (10°,11°,12° etc) ndo maana wanaweka thermostat. Changamoto hiki kifaa kinaweza kumisbehave kikaziba...
  4. Lung'wecha

    Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

    Forester XT ni 180 speed, haina jipya labda iwe ile yenye turbo
  5. Lung'wecha

    Tafiti ndogo ya ligi ya magari 2020 Desemba kwenda kaskazini ni kama hii

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]walikuwa na chombo miguu miwili
  6. Lung'wecha

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Nahitaji complete engine ya 1NZ (raum) toka Japan Naomba bei kama ipo
  7. Lung'wecha

    Kwanini Magari madogo hayatumii Dizeli yanatumia petrol?

    Kwani coolant si ni maji pia na yanatumika kwenye kila gari
  8. Lung'wecha

    Msinunue Namba za magari badala ya Gari lenyewe

    Eeeh jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  9. Lung'wecha

    Siku ambayo wife alinipa kipigo cha paka mwizi...

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kipigo cha frypan kilikufanya urudi kwenye factory setting
  10. Lung'wecha

    Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

    Jamaa this time atashinda zaidi ya 80%. Ni suala la muda tu!
  11. Lung'wecha

    Kijana yupi kati ya hawa ana sifa za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano?

    Maybe kwa baadae atleast ungesema 1.Kassim Majaliwa 2.Dotto Biteko 3. Makamba January 4. Makonda Paul (anapigwa vita lakini ana nyota kali)
Back
Top Bottom