Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,358
Nakubaliana na wewe asilimia 100.Nina kagari Toyota IST ambako kana namba CYZ jamaa mmoja alikuwa anakapenda haka kagari kutokana na condition yake.binafsi nlikanunua sababu ya mamsap baadaye akaja akawa anataka Crown "Toyota"
Kiukweli gari ipo vizuri imetembea kms 60000 plus.jamaa akaja nikamwonesha gari akakagua na kumta fundi wake mtalaam. Fundi akanishtua chamber kuwa yeye ntampa tsh ngap.nikamuuliza kwa kazi gani?yeye hakagui kwa niaba yangu.so why nimlipe?akadai ili jamaa anunue anahitaji maoni yake.nlimkatalia...
Nina harrier namba C tena zile za mwanzo.
Ila inaendeshwa na mwanamke tena weekend tu.
Haijafikisha km 80,000 toka miaka hiyo.