Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.
Ufunuo wa Yohana 21 : 8
1.Je waoga hawa wanaotajwa hapa ni waoga wa aina gani?
2.Je...