Msaada kuhusu hizi degree mbili za Elimu

Msaada kuhusu hizi degree mbili za Elimu

Kama kweli unataka kua mwalimu wa chuo, soma Bed science au Bed arts na sio kwenda tu lazma na GPA iwe nzuri, na sio kwamba lazima utaenda kufundisha chuo waweza kuwa na vigezo lkn bado ukaja kufundisha secondary tuu
 
Kufundisha chuo ni zali,ila hiyo isikukatishe tamaa,soma Bed Arts au Bed Science ikitokea zali utaenda kufundisha chuoni.Ila kuna utaratibu wa vyuoni(siyo vyuo vya kati) kubakiza wenye G.P.A kubwa bila kujali kachukua Bed au B.A
 
Hii ikoje mkuu
Hii unasimea digrii ya elimu ya awali,ukimaliza unaweza ukapangiwa kwenda kufundisha vyuo vya ualimu vinavyotoa early childhood education ngazi ya diploma au certificate au kama utapata G.P.A kubwa unaweza ukaachwa chuo kikuu endapo utapata nafasi Vyuo vinavyotoa hiyo digrii ni UDSM na UDOM ila kuna utofauti,UDSM hawana somo la kufundishia,UDOM wanasomo la kufundisha mfano Geography ,Linguistics au Physics.Hii ni kozi nzuri sio tu kwaajili ya ajira bali hata ukitaka kujiajiri kwa kuja kuanzisha Day care na preschools psmoja na kumiliki chuo huko mbeleni.Pamoja na kusoma hiyo digrii unaweza ukakosa nafasi ya kufundisha vyuoni ukapangiwa sekondari.
 
Nimedanganya nini
Bachelor of Education in Arts huyu ni mbobez katika masuala ya elimu. Ana posibility ya kwenda kufundsha vyuo vya ualimu. Akienda kusoma masters lazima auchukue kozi za Education. This is a teacher forever, kama nilivosema akitaka kujiendeleza kielimu ni lazima ha deal educational matters.

Bachelor of Arts with Education, huyu ni mwalimu wa sekondari na hata primary. Akitaka kusoma masters , ana access ya kusoma kozi tofaut na za education, mfano kusomea business administration au public administration and the like. Kwa maana hiyo anaweza akasomea koz nyingine kwa masters then akaachana na masuala ya kufundisha.
 
Back
Top Bottom