Recent content by LUKULUKU

  1. L

    Kilichoandikwa na MwanaHalisi dhidi ya Shamsa Mwangunga chatimia Bungeni

    Tayari kunataarifa ya baadhi ya wabunge akiwemo mmoja mwananmke wamejipanga kukwamisha bajeti ya Waziri wa Maliasili na utalii, Shmsa Mwangunga kwa madai hayo hayo ya Udini. ni maandishi ya mwanahalisi
  2. L

    Kilichoandikwa na MwanaHalisi dhidi ya Shamsa Mwangunga chatimia Bungeni

    we mzee acha udini, kuiba meno ya tembo (nyara za serikali) unadini? Kama Shamsa anahusika au anafanya uzembe atawajibishwa bila kujali dini yake. Lowasa, Karamagi na Msabaha waliwajibika bila kuulizwa dini zao. Achane kulipeleka taifa kidini jamani *tUSIMLAUMU MZEE WA HOJA. Alisema kubenea...
  3. L

    GE2010 Najitokeza kugombea Ubunge jimbo la Mafia 2010

    mzee umenena. mimi leo nimerudi katika kushiriki ktk wale maiti nimeona Jimbo lilovyokuwa naskika CASPEAN WANAKULA PESA za wananchi na bara bara haijengwi. inawezekana mafisadi wameivamia Mafia . kagombee Ubunge uwaokoe wenzetu. lkn usiwageuke baadae , nakupa kura yangu kabla sijaipiga
  4. L

    Kiti Cha Mh Spika ndani ya Bunge

    Juzi Jumamosi 3/7/2009 Usiku nilisikiliza redio imani kuhusu mjadala wa mahakama ya kadhi ikitolewa na masheikh wakuu wa kiislam nchini. moja ya hoja iliozungumzwa ni kwamba akitokea Mbunge akimuuliza swala Waziri mkuu katika maswala ya papo kwa papo swala linalohusu waislam Bungeni au waziri...
  5. L

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    IPP MNANINI KWA WAISLAM? naamini kila mtanzania sasa anafuatilia hoja ya mahakama ya kadhi kupitia magazeti. lkn la kushangaza vyombo vya habari vya IPP kupitia magazeti yake ya Kulikoni, NIPASHE Hayaripoti kabisa habari hii, lkn nadahani hii inatokana na chuki za vyombo hivyo kwa waislam. lakn...
  6. L

    Juu ya OIC na Mahakama ya Kadhi

    Jana Mizengo PINDA alikutana na masheikh wakiongozwa na Mufti Simba ili kujadili mhahakama hiyo, na kukubalina kwamba inasemekna kwamba wamekubali serekali kuanzisha. taarifa hizi nilizipta kupitia sheikh Khamis Mataka kaytika kupitia Redio IMAN iliokuwa inarusha kipindi moja kwa moja kuadili...
  7. L

    Lwekatare wa CUF kuhamia CHADEMA

    uJUMBE KWA MAALIM SEIF,LIPUMBA NA JUMA DUNI ni wazi kwamba CUF Inapotea mwelekeo na ushawishi kule TZ baada ya kuondokewa na Luwakatare, ni chama kinachoyeyka kama nyasi zinvyoyakua katika moto mkali. nadhani imefika hatua haraka kwa Pr Lipumba, maalim seif, jusa, Duni, Machano, Dimani na...
  8. L

    Mshindi wa Maisha Plus Ndani ya Bunge.

    Ni wazi mashindano haya ni sawa na yale mashindano ya Big brother yanayofanyika kule afrika ya kusini. ni mashindano ambyo Ngono imetwala kwa washiriki na hasa baada ya kuwekwa kambi wakati kunamchnganyiko ya wanawake na wanaume. Jana nilimuona S.S akifurahia kwa kualikwa huyu jamaa katika...
  9. L

    Biharamulo: Kampeni, kura na matokeo!

    huyo mrema anafaidi matunda ya waislam waliomkalia itikafu baada yeye kujiona mUngu Mtu wa Tz alipopewa uwaziri wa Mambo ya Ndani sasa anaanguka tu kisiasa na sasa anaanza kuanguka bafuni
Back
Top Bottom