Kiti Cha Mh Spika ndani ya Bunge

LUKULUKU

Member
Jun 19, 2009
14
0
Juzi Jumamosi 3/7/2009 Usiku nilisikiliza redio imani kuhusu mjadala wa mahakama ya kadhi ikitolewa na masheikh wakuu wa kiislam nchini. moja ya hoja iliozungumzwa ni kwamba akitokea Mbunge akimuuliza swala Waziri mkuu katika maswala ya papo kwa papo swala linalohusu waislam Bungeni au waziri yeyote akiulizwa swala hilo Spika Huingilia kati na Kujibu yeye badala ya kumuachia Muhusika kujibu jambo ambalo baadhi ya waslam wanaofuatilia bunge wanaliona kwamba spika hatendi Haki hasa kipindi hichi ambapo bunge liko wazi katika kujadili jambo muhimu kama Vile Richmond, Mahakama ya Kadhi na OIC.

 
Last edited:
Juzi Jumamosi 3/7/2009 Usiku nilisikiliza redio imani kuhusu mjadala wa mahakama ya kadhi ikitolewa na masheikh wakuu wa kiislam nchini. moja ya hoja iliozungumzwa ni kwamba akitokea Mbunge akimuuliza swala Waziri mkuu katika maswala ya papo kwa papo swala linalohusu waislam Bungeni au waziri yeyote akiulizwa swala hilo Spika Huingilia kati na Kujibu yeye badala ya kumuachia Muhusika kujibu jambo ambalo baadhi ya waslam wanaofuatilia bunge wanaliona kwamba spika hatendi Haki hasa kipindi hichi ambapo bunge liko wazi katika kujadili jambo muhimu kama Vile Richmond, Mahakama ya Kadhi na OIC.


kwa kuanzia, hebu tuambie we mtazamo wako au msimamo wako ni upi ili tunapojadiliana kuhusu hilo tujue mleta hoja ana mtazamo gani. kwasababu ni mambo mengi spika amekuwa akiwajibia mawaziri ama tuseme amekuwa akiwazuia mawaziri wasiyajibu. sasa kabla hatujaenda mbali wewe unasemaje?
 
Juzi Jumamosi 3/7/2009 Usiku nilisikiliza redio imani kuhusu mjadala wa mahakama ya kadhi ikitolewa na masheikh wakuu wa kiislam nchini. moja ya hoja iliozungumzwa ni kwamba akitokea Mbunge akimuuliza swala Waziri mkuu katika maswala ya papo kwa papo swala linalohusu waislam Bungeni au waziri yeyote akiulizwa swala hilo Spika Huingilia kati na Kujibu yeye badala ya kumuachia Muhusika kujibu jambo ambalo baadhi ya waslam wanaofuatilia bunge wanaliona kwamba spika hatendi Haki hasa kipindi hichi ambapo bunge liko wazi katika kujadili jambo muhimu kama Vile Richmond, Mahakama ya Kadhi na OIC.

Richmond inahusu taifa zima ukiwemo na wewe na mimi Mahakama ya kadhi na OIC inahusu kikundi cha watu si taifa zima. Je kipi ni bora?
 
Richmond inahusu taifa zima ukiwemo na wewe na mimi Mahakama ya kadhi na OIC inahusu kikundi cha watu si taifa zima. Je kipi ni bora?
Suala hapa kwanini majibu hayo asiachiwe anayeulizwa na badala yake Sitta anajibu yy kama vile anaeulizwa hana hana majibu au hajuwi kujibu?
 
kwa kuanzia, hebu tuambie we mtazamo wako au msimamo wako ni upi ili tunapojadiliana kuhusu hilo tujue mleta hoja ana mtazamo gani. kwasababu ni mambo mengi spika amekuwa akiwajibia mawaziri ama tuseme amekuwa akiwazuia mawaziri wasiyajibu. sasa kabla hatujaenda mbali wewe unasemaje?

Wakuu hivi mmesha-note kwamba sasa hivi Rostam and his co anautumia sana uislam kuwashambulia wale watu wanaomsakama?
 
Rostam kaingiaje hapa tena! yaani sasa kila kitu ni Rostam, Rostam hakuna mengine ya kujadili, watanzania bwana
 
Rostam kaingiaje hapa tena! yaani sasa kila kitu ni Rostam, Rostam hakuna mengine ya kujadili, watanzania bwana

Kwani Igunga aliingiaje? Ikulu aliingiaje? Richmond a.k.a Dowans aliingiaje?
Kagoda aliingiaje? na kwingineko unaweza malizia mwenyewe aliingiaje?
 
Wakuu hivi mmesha-note kwamba sasa hivi Rostam and his co anautumia sana uislam kuwashambulia wale watu wanaomsakama?
.,
Labda utukumbushe, tunachokumbuka sisi RA alishasimama kanisani ktk kujisafisha kwahiyo nadhani Wakristo ndio wanaotumika.
 
watu wote waliofilisika sera vichwani mwao hujihalalishwa kwa kutumia dini,ukabira,rangi nk. Nadhani suala la kuwa au kutokuwa na mahakama ya kadhi linajadilika na lisitutenge kama watanzania. Tunaomba wale wanaotaka tuwe na mahakama ya kadhi watoe hoja za kutulidhisha na wale wanaokataa uwepo wa mahakama hizo watupe hoja pia. hapo tutapima na kuamua. Najua wanasiasa wengi huogopa kujadili na kuamua hili hasa katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mwakani. Kuna maswala mengi wanayoogopa zungumzia sasa kama ya kero za Muungano, katiba mpya, marekebisho ya seria mbalimbali nk. Kumbukeni sisi ndio tulio waweka madarakani na tunatakiwa tuwe na uwezo wa kuwaondoa tusipo ridhiaka na utendaji wao.
 
Richmond inahusu taifa zima ukiwemo na wewe na mimi Mahakama ya kadhi na OIC inahusu kikundi cha watu si taifa zima. Je kipi ni bora?[/QUOTE]
Degauche2008,

Elewa si kila jambo linalozungumziwa bungeni basi linahusu taifa zima. Chukulia suala la kule kwetu la barabara kunzia Nyakanazi mpaka Kigoma, suala hili ni la watu wa kigoma na si la watu wa Dar au zanzibar.

Fahamu kuwa Waislam ni sehemu katika Watanzania , tena ni sehemu kubwa katika watanzania. sasa kuongelea masuala au kujadili masuala kama haya bungeni ni sahihi kwani yanawakilisha watu wengi
 
Back
Top Bottom