hahaha!!sio kwel jmn..kila kitu kinapangwa huwez jua mwez wako mtakutana ktk mazingira gan though hawa wa hku JF dah ni ngum kumjua who is the right 1!
Mkuu tafadhali nisaidie katika hili. Anafanya kazi katika kampuni ya mtu binafsi. Mtu huyu amekua na tabia ya kukosa nidhamu kazini mara nyingi kazini anakuja amelewa.
Mwajiri amechukua hatua ya kumsimamisha na sio the first time alishasimama tena kama wiki mbili akarud kazini amemiss behave...
jaman kwel zinachanganya hatari..mm nliikuta sehem bei nzur na mtu akanihakikishia ni yenyewe kumbe ni mchina..inaudhi sana jmn wachina hawaaa hampitwi???
swala la kurudiana inategemea na sababu gn iliwafanya mkabreak up kuna sabb nyingine yan unakuta mtu kakosea na haziwezekani kurudisha mapenz hata kama ulimpenda kias gan zaid tu utaonekana ---- au -----.zaid sana utatumia ubinadamu kusema nimesamehe bt kuwa nae tena no
Paul Makonda ana mdomo mchafu!huwezi kuumwita mwenzako shetani.amejitetea kwa kunukuu vitabu vitakatifu kua vinataja shetani kama baba wa waongo but katika vitabu hivyo havituamuru kuwahukumu wenzetu"usihukumu usije ukahukumiwa"kubali kuwa umekosea uombe radhi.usitake kupata jina kwa kuongea...
"Itaboresha kitu gani kwenye katiba?" mpaka wajumbe wote wamalize kuchangia tutajifunza maneno mengi sana ya mipasho.mithali na misamiati!!kuna wajumbe wana uswahili humu ndani sijui mh JK aliwachukua kwa vigezo gani.hi ni hatari jamani sujui tufanyeje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.