Serikali iongeze ufanisi katika kuwakamata hawa akina Lissu, kupitia kukamatwa kwao viwanda vinaongezeka nchini na uchumi unakua kwa kasi ya aina yake.
Na kuna faida gani waipatayo wapiga kura kwa mbunge wao kubaki bungeni na kuchangia PUMBA Kama hizi
"Tubadilishe sheria wapinzani wasiruhusiwe kufanya mikutano"
"Tutoe sanamu la askari ili tuweke la msanii diamond kwa kulitangaza taifa"
"Mke wangu amejifungua mtoto wa kike na kwa jinsi...
Siku zote ukiona mtu anakuzuia usiseme kuhusu yeye ujue anayo MAKANDOKANDO tele na hayo MAKANDOKANDO yanamfanya ashindwe kujiamini.
Pia mtu huyo labda anawalisha wenzake MATANGO PORI na anahofia wewe unaejielewa ukiongea utafanya wanaomezeshwa MATANGO PORI wazinduke.
Labda pia mtu huyo UWEZO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.