Ukiangalia kwa kina sio kila product ya chuo inasehemu ya kwenda....mitaala ya chuo kulingana na teknolojia na hali ya sasa maranyingi unakuta kuwa haviendani....na mitaala mingi inapaswa kuongezewa cozi mbali mbali ambazo zitafanya ziwe na mashiko mtaani. La serikali inapaswa kujua wale...
A very good site of the problem...the world has now an incredible in stress,depression,anger and anxiety so on and so forth...so people find CBD will sooth their soul...GOD help us.
Hi Ina mchanganuo safi sana...natafuta Enzo mwanza niweze kuthubutu huu mradi....kwakuwa mwanza kuna ziwa victoria me mradi huu utakuwa na Tina ukijaribu kuangalia kuwa ziwa Lina supply na bwawa pia.
Mbona mtoto wa kike wa katibu wa zaman wa chama cha panya naye anayo inamana nae haonekan muanze nao kwanza hatudanganyiki kabisa katika hili la kuchafua watu il waonekane hawafai
Hiyo ni neema kwa viongoz wa sirikal kuwaongezea ulaji na sio wananch madin km dhahab tanzanit yabakaribia kuisha tangu yagunduliwe na kuanza kuchimbwa sabab kuna mianya mingi ya rushwa na viongozi kubebana kwa ufisadi hakuna jipya hap zaid kuleta shida kwa wananch
Inamana wabunge ccm hawapo mpka utuletee taarifa ya kijinga hum jf utuambie basi anaye wahi kuingia bungen ninani ?unaleta vitu ambavyo havina tija humu kwa mstakabal wa nchi ukiwa unataka majib sahihi linganisha na wa ccm tutajua kwel umefanya utafiti na pia tujue wanao sinzia kwa ccm na cdm...
Na ya ccm huyaoni familia kuingia nec na kuwapa watoto wenu uongoz husein mwiny makamba karume nk huyaoni au kwa upande wa ccm unakuwa kipofu kibaraka ww na mchochez mkubwa
Huku geita hii ni wiki sasa unakatika asubuhi na kurudi jioni....ukirudi unakuwa hauki stable....
Nadhani anazungumza ila hana ufahamu kuwa kile shirika linafanyaje kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.