Thanx,mi nipo tabora,kwa wale wanaoujua huu mji vizuri ni busness gani naweza anzisha,na ikaingza kidogo dogo,malengo ya mke wang alisema anataka fan yyte hasa fund wa chelehan,nilijarbu kuongea na walim wakadai 10'000/kq mwez, sasa sjuw nianze na ip kimeza au? Naomba mnisaidie jamani