Ndiyo,inaitwa MUNDEXWanatengeneza na Viagra ?
una kumbukumbu yoyote kuhusiana na dawa yoyote inayotumika sasa kuwahi kugunduliwa Tanzania ?Pongezi kwa hatua hiyo!
Kuhusu dawa ya tezi dume imeonyesha uwezo mkubwa na naamini watatupa takwimu.Kila kukiwa na mambo yabayogusa taifa hawakosi kuja na mbinu kuwaondoa watu kwenye mjadala,sasahivi tupo kwenye swala la daftari lawapiga kula na uchaguzi mkuu,au ni kick kwa kuwa hiyo kazi imeshindikana tusahau?
Pongezi kwa hatua hiyo!
Ndiyo lakini sio instant,kama ku pull trigerMkuu iko sawa hiyo MUNDEX?
Ndiyo maana wakati mwinyingine wana sayansi wanaogopa waandishi wa habari!!Kumbe ukimwi unatibika?
NIMRI imeshirkishwa kimataifa kufanya utafiti dawa ya ukimwi. Si yake. Acheni siasa
Hii ilikuwa habari ya kuuza magazeti ya leo na pengine wamepata mgao kutokana na mauzo ya leo. Huo uwezo wa ugunduzi wa juu hivyo bado hawajawa nao na wala hauwezi kuaminika na kukubalika hata hapa nchini tu mbali ya mataifa makubwa yenye maabara makubwa na wataalam waliobobea katika chunguzi. Madawa ya mimea ya kuua wadudu yanachakachuliwa kila leo na wakulima wanakosa mavuno na Nimr wapo leo waje na ugunduzi wa dawa ya ukimwi? Mafrof. vyuo vikuu vinavyoheshimika dunia nzima vipara hadi vimeota vipele hawajagundua dawa wakati kila kitu wanacho hadi misaada ya nchi tajiri leo hii Nimr iseme wanasubiri kuiingiza dawa sokoni. Hizi ni njozi kama za babu wa Loliondo.
chanzo habari leo!!!!spinning hiyo kututoa kwenye miswada kandamizi inayopelekwa kwa hati ya dharura...mambo ya samunge!!!!