Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,548
Tupate flow hahahahha
Ha ha ha ha...si ndo maana nimemshtukia miss chagga. Anampiga sound mtoto mrembo Grace...
Tupate flow hahahahha
Mkuu utoe ushauri au upate flow?
Ha ha ha ha...si ndo maana nimemshtukia miss chagga. Anampiga sound mtoto mrembo Grace...
nipate flow ili nitoe ushauri
guresi nae kaingia mitini flow zinakata
Amesema simu yake ndo tatizo. Jamaa hata kumbe hakumnunulia guresi simu ya kupangusa.
inaelekea moyoni ana maumivu tuvumilie labda lipo la kumshauri huko mbele analia kwanza naoTukushauri nini???
Yaani hujui kama humpendi tena wala kumuamini mtu unapaswa kufanyaje???
Toa maada kamili tatzo ni nn?mpaka unasema humpend toa mambo hadharan bas sster
ahahahahha nacheka sana ahahahhahhaha kweli hampendi yani guresi analia halaf anaaambiwa unamlilia nani jamani mapenzi kuzunguzungu hii itakua mahaba nipotezee
Guresi tu ameshindwa kusoma mchezo. Alishawekwa wa kukatia kiu.
Hii danganya toto yako acha bana. Janja sana wewe....
na inaelekea guresi akipenda anapenda kidhati kabisa masikini
ha ha ha watu smart kama wewe siwapendi kukutana na ninyi
Si ndio vizuri lakini mkuu? Sema tu kakutana na jumba bovu.
tumbembelezeje...>???analia sana
Ha ha haaa...basi nimeacha mkuu. Halafu siku hizi huji tena kule jukwaa letu. Nani kakauudhi? Ukuje bana.