Mkuu mnapopita walishapita wengine na kibaya zaidi walipita miaka mingi iliyopita wenzako, hata huyu pep kocha wa Man city alilitwaa hili kombe akiwa na Barcelona miaka 8 iliyopita
Mkuu Man U mnawashinda makombe ya UCL tu hili kombe wanalo tangu 2008 labda muongeze jingine.
vita ya wana EPL...
Ukizungumzia maendeleo ya kanda ya Kaskazini usisahau kuna kanda ya ziwa pia.
Siku zote ni huwa Mwanza vs Arusha na Moshi vs Kagera na si Chato vs Kaskazini.
Lakini kwanini haya yote ni chato kama si ubinafsi wakati Kagera hawana hata stendi ya mabasi ya kueleweka.
Nawaona Dortmund,Man City,Atletico,chelsea na lyon wanavyojiona wasio na bahati kabisa ila Napoli akimkazia barcelona pale Nou camp basi anapita maana barcelona away huwa ni komedi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.