Recent content by Ludacris

  1. L

    Nani ajuae kesho

    story ina mafunzo lakini Donald Trump hajawahi kuajiliwa na Mike Tyson.....
  2. L

    Success at school vs success in life

    Toa neno "wote" hapo halafu achana na stori za kiyosaki ma tycoon wenye Phd wapo huko duniani.
  3. L

    Huyu msichana nimnunulie zawadi gani?

    Mpe pesa akanunue anachojua yeye.
  4. L

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu mnapopita walishapita wengine na kibaya zaidi walipita miaka mingi iliyopita wenzako, hata huyu pep kocha wa Man city alilitwaa hili kombe akiwa na Barcelona miaka 8 iliyopita Mkuu Man U mnawashinda makombe ya UCL tu hili kombe wanalo tangu 2008 labda muongeze jingine. vita ya wana EPL...
  5. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona leo asernal kawauwa wengi sana.
  6. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana kuna majinga ya uturuki yalininyima laki 1 tena nayo yalikuwa nyumbani kabisa
  7. L

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Jamaa zangu wana nafuu hawa Je wakinasisi arsenal
  8. L

    Ewe mke au mme jifunze hili litakusaidia

    sijui kwanini Nelson Mandela aliweza kuwasamehe makabulu lakini akashindwa kumsamehe mke wake.
  9. L

    Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

    Ukizungumzia maendeleo ya kanda ya Kaskazini usisahau kuna kanda ya ziwa pia. Siku zote ni huwa Mwanza vs Arusha na Moshi vs Kagera na si Chato vs Kaskazini. Lakini kwanini haya yote ni chato kama si ubinafsi wakati Kagera hawana hata stendi ya mabasi ya kueleweka.
  10. L

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona Madrid rekodi inamkataa sana kwenye El clasico as matter of fact Hazard hatocheza halafu barcelona wana utatu wao labda suprise ipo aisee.
  11. L

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nawaona Dortmund,Man City,Atletico,chelsea na lyon wanavyojiona wasio na bahati kabisa ila Napoli akimkazia barcelona pale Nou camp basi anapita maana barcelona away huwa ni komedi sana
  12. L

    I don't know if I can make it through this year

    Tough times never last but tough people do............
  13. L

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Very touching story.
Back
Top Bottom