Waliokimbia kwa mwaka huu tu ni hawa,wengine kwa jina mojamoja
1. MROWASA ( accounts )
2. Tende accounts
3. Magaluda accounts
4. Mziray accounts
5. victoria accounts
6 Makwinya records
7. Ruth Simba HRM
9. Matotai HRO
10. Bulhan Electric technician
11.Kunaga Senior supplies officer
12. Mbaraka...
kuna msululu wa wa wafanyakazi ambao wameacha kazi katika idara hiyo nyeti nchini, wafanyakazi hao ni kutoka katika kada mbalimbali, wengi wameshaondoka na wengine wengi wanahangaika kutafuta kazi sehemu zingine kwa speed ili waondoke.
kama mnakumbuka tcaa ilikuwa inakimbiliwa na watu wengi...
waislam na mahakama ya kadhi hii ni chokocho ambayo nature hata iweje they never change, kwani wanavyodai je ya wakristo iko wapi wa Othodox ikowapi, hapa hata muanzishe mahakama ya mwanzo hadi ya rufaa baada ya hapo watakuja na kingine, wekezeni kwenye elimu acheni ujinga, wakati wengine...
Ni kweli mzee huyu wa utepe yupo cool sana sifa anazo, lakini kiti hicho cha magogoni tokea 2005 kimekuwa kikipatikana kwa mbinu na umafia wa hali ya juu, swali je atahimili, kwa mtamo wangu Dr Salim si mchafu kiasi alichochafuliwa 2005
Rafiki zangu waliniomba niwasaidie kufikisha habari hii kwenu ili muichambue.
Kumezuka tabia ya viongozi kulazimisha mapenzi kutoka kwa wafanyakazi wa kike, wakubwa hao wanaofahamika kwa majina ya Patrick Vyamana na Ruhongole, wamegeuka mafataki kwa kulazimisha mapenzi kwa kila msichana anaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.