Dr. Shein kuelekea 2015...

1. Ni kweli, Rais au kiongozi wa juu kama Baba kwenye familia anahitaji ka udictator fulani. Ni ngumu pia kumpata mtu mwenye sifa zote

2. Uzuri au tumaini langu kwa Shein ni uwezekano wa kutengeneza timu nzuri. Pamoja na madhaifu, udhaufu mkubwa aliona na ambao unaigarimu nchi ni TEAM CREATION. Na hili ni tatizo kubwa sana kwa nchi za Africa. wakati wenzetu anapopata madaraka anatengeza timu ya kumyanyua.

Hivyo, bado naona anafaa kuliko ambao wanapewa nafasi.

Correction Please:

1. Ni kweli, Rais au kiongozi wa juu kama Baba kwenye familia anahitaji ka udictator fulani. Ni ngumu pia kumpata mtu mwenye sifa zote

2. Uzuri au tumaini langu kwa Shein ni uwezekano wa kutengeneza timu nzuri. Pamoja na madhaifu mengine, udhaufu mkubwa aliona Kikwete na ambao unaigarimu nchi ni TEAM CREATION. Na hili ni tatizo kubwa sana kwa nchi za Africa. wakati wenzetu anapopata madaraka anatengeza timu ya kumyanyua.

Hivyo, bado naona anafaa kuliko ambao wanapewa nafasi.[/QUOTE]
 
Inaelekea Shein ni mkimya sana. Makamo wetu wa raisi huyu kwangu mimi ndiye ninayeona anayefaa kuongoza nchi 2015. Hayupo kwenye spotlight sana kama viongozi wengine wakuu. Katika viongozi tulionao mimi naona huyu mzee ni moja kati ya waliyo bora maana haendekezi siasa za jukwaani. Sijui kwa nini yeye hatajwi kati ya moja ya watu wanaoweza kumrithi JK, labda mwenyewe hautaki uraisi. Ukilinganisha na viongozi wengine wanao tajwa tajwa sasa mimi naona so far namsupport Shein for 2015.

Sababu zangu ni zifuatazo.
1.Hajaonyesha tamaa wala uchu wa madaraka.

2.Hana skendo yoyote kubwa anayo tajwa kuhusika.

3.Haelekei kuwa na makundi

4.Ni mpole na hapendi spotlight kitu ambacho kinaweza kuashiria he is all action and no talk.

5.Tetesi niliyo sikiaga ni kwamba 2005 Kikwete alikua na mgombea mwenza wake mwenyewe lakini baada ya majadiliano wakaona kwamba Shein ndiyo anafaa kuwa kwenye tiketi ya chama.

Sijui kama mwenyewe ana ndoto za 2015 lakini kwenye kundi la sasa yeye anaonekana kufaa kuliko wenzie. Wanaweza kutokea wengine wanaofaa kabla ya 2015 ila kwa sasa nimemuona huyu. Haya ni maoni yangu tu wakuu sijui nyie mna semaje.
Ni kweli mzee huyu wa utepe yupo cool sana sifa anazo, lakini kiti hicho cha magogoni tokea 2005 kimekuwa kikipatikana kwa mbinu na umafia wa hali ya juu, swali je atahimili, kwa mtamo wangu Dr Salim si mchafu kiasi alichochafuliwa 2005
 
Tatizo kubwa hapa ni kwamba Katiba inasemaje kuhusu yeye? Na je katika uchaguzi wa mwaka ujao ataweza kuwa na haki ya kisheria kugombea baada ya kuwa Makamu wa Rais kwa zaidi ya kipindi kimoja?

Katiba inasemaje katika hili.
 
habari wadau wa JF
First naomba ni declare interest kwamba sipo chama chochote cha siasa hapa bongo,ila kwa muonekano wa hali halisi ya mambo(uchumi) ukichukulia na hali ya muungano kwa sasa mi naishauri ccm wamsimamishe DR shein aweze kugombea uraisi!
Ni mtazamo tu!
 
kama mnadhani hii ni nchi ya kuongozwa na waislamu kwa kupokezana, mtaona. kura zitaamua
 
Ok mkuu kwa hiyo unaona anayefaa yuko nje ya serikali mkuu? Na kama siyo Shein kwa sasa unaona nani mwenye muelekeo wa kufaa kumpokea JK? Kwa sasa mimi naona upinzani kuchukua ni ndoto labda yatokee mabadiliko ya ghafla na ya uhakika otherwise yoyote tutake ishia kumchagua atakuwa ndani ya serikali au CCM. Hapa tuna badilishana mawazo tu ndiyo niya ya thread.

U know wha,inaonekana some few people do not know where we are and where we want to go as the country. 'Becoz 'IF U DONT KNOW WHERE U WANT TO GO U WILL NEVER KNOW IF U HAVE GOTTEN THERE'
TUNATAKA RAISI AMBAYE ATASAFISHA HUU UOZO TUNAOUSHUHUDIA.4 REAL NOBODY IN CCM ANAWEZA KUTUFIKISHA WHERE WE WANT TO GO( FOR US WHO KNOW WHERE WE ARE AND WHERE WE WANT TO GO).FOR THOSE WHO DO NOT KNOW WHERE THEY ARE AND WHERE THEY WANT TO GO,WATANG'ANG'GANIA ETI HUYU JAMAA MPOLE,HAONGEI,HANA MAKUNDI.kATIKA HALI TULIYOFIKIA ARE THESE ATTRIBUTES ZA KUMWONA MTU ANAFAA KUWA PREZ?GHOSH;;;;;;;;;;.VERY SORRY.
 
Ni kweli mzee huyu wa utepe yupo cool sana sifa anazo, lakini kiti hicho cha magogoni tokea 2005 kimekuwa kikipatikana kwa mbinu na umafia wa hali ya juu, swali je atahimili, kwa mtamo wangu Dr Salim si mchafu kiasi alichochafuliwa 2005[/Q

SI MPAKA WALIOMCHAFUA WAMFUTE? SI BADO WAPO WALIOMCHAFUA?WATUBU AND THEY SHOULD STATE OTHERWISE.
 
wandugu inaonekana hata viogozi wa tanzania hamuwajuwi sheni sio makamo wa kikwete sheni ni rais wa zanzibar inaonekana hamuwajuwi viongozi wa tanzania ila mmo katika kushabikia tuu kwanza someni vizuri mada ndio muchangie makamo wa rais ni mohammed bilali sio sheni tujuwe viogozi wetu ushabiki mbali
ndio maana hatwendi mbele watanganyika katika siasa sasa wakati wa kudai tanganyika yetu kama wazanzibari
 
we ndo soma vizuri,hii ni thread ya 2009,makosa ya wanajf yako wapi??
 
Back
Top Bottom