Gwajima aliwahi kusema hawezi kuchanganya siasa na dini,Sasa hivi ni mbunge,viongoz wa kidini weng ni njaa tu,Bora uwe mpagani,unajiongoza wewe mwenyewe na hakuna sadaka
Achana na tank la dukan,halitadumu muda mrefu kwa sababu limeundwa material mepesi sana,unaweza ukanunua hata mwaka lisimalize,nenda kwa mafund wakutafutie tank lililokuja na pikipki utakaa nalo muda mrefu kuliko LA dukan
FUND.
Ngoja niwape elimu kidogo
Kwenye pikipki kuna kitu kinaitwa CLUTCH HOUSING ambayo inabeba clutch plate,sasa hiyo clutch housing ikiwa inacheza Mara nying ndo inaleta huo mlio unaohusikia,na Mara nying ukiweka gia ukitaka kuondoka hiyo kelele inajitokeza,nenda kwa fund mwambie akubadilishie...
11)wapangaji roho mbaya,wez,wazee wa kukomoa
Hawa wenyewe ukiacha kitu unakuta hakipo au wameharibu kabisaaa,ukiuliza n kosa,utakutana na majibu ya hovyo mpaka basi.......
Bro,bora pkpk za china kwa sababu zina spea nying,lakin boxer ina nying fek na sio imara kama ile iliyokuja nayo na kingine n kwamba, boxer inataka upate fundi mzuri wa ingine hasa ikiua rings piston,huwa inasumbua sana na inataka vitu original,uchukua fek,itakusumbua,ni hayo tu....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.