haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 837
- 1,550
Binafsi sivuti sigara ya aina yoyote, sinywi pombe, siendi kumbi za starehe nk lakini katika kuishi kwenye mikusanyiko ya watu wengi nimegundua wale watu ambao hawajinasibishi na dini sana japo wanaamini katika Mungu wanakuaga watu fair sana.
Kama ni hostel unaweza kushare vitu vyao vingi tu na mambo mengi wanachukulia kawaida/ easy, ila waoe wa dini mmh! Yaani kila kitu wanachukulia serious halafu wana roho mbaya. Hawapendagi kushare vitu vyao kama chaja, pasi na vitu vingine. Wanajifanya wanajua mambo mengi, wanapenda visasi nk.
Siwasifii walevi, au sisemi watu wasiabudu Mungu, ila tu jamaa wasio hao wako flexible sana na ni rahisi zaidi kuishi na msela kuliko mchungaji au ustadhi, wengi wako fixed and closed in mind.
Kama ni hostel unaweza kushare vitu vyao vingi tu na mambo mengi wanachukulia kawaida/ easy, ila waoe wa dini mmh! Yaani kila kitu wanachukulia serious halafu wana roho mbaya. Hawapendagi kushare vitu vyao kama chaja, pasi na vitu vingine. Wanajifanya wanajua mambo mengi, wanapenda visasi nk.
Siwasifii walevi, au sisemi watu wasiabudu Mungu, ila tu jamaa wasio hao wako flexible sana na ni rahisi zaidi kuishi na msela kuliko mchungaji au ustadhi, wengi wako fixed and closed in mind.