Tanki la pikipiki kuvuja Nini chanzo?

mfate42

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
3,769
4,260
Habarin za usiku huu ndug zangu,.sitaki kuwashosha ngoja nienda moja kwa moja kweny mada.

Nna pikipiki yangu aina ya fekon ,nliinunua mwaka 2015..na haikunletea shida Hadi hivi majuzi ndo imeanza kunizingua katika upande wa Tanki la kuwekea mafuta..nikajaribu kuziba kwa kutumia dawa haradaiti..mambo yakawa sawa..

Cha kushangaza baada ya siku nne kupita Leo naona Tena upande mwingine wa kushoto unavuja tena,.na kilichonishtua Ni harufu ya mafuta..naomba mnijuze ndg zangu hii kuvuja kwa Tanki husababishwa na kitu gani?..na je spare zake huwa imara au ndo siku mbili zinaanza Tena kuvuja..???

Mwisho Kama Kuna anaejua mahali naweza pata spea ya hili Tanki langu kwa Bei nafuuu..anijulishe..
IMG_20191223_153009_2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarin za usiku huu ndug zangu,.sitaki kuwashosha ngoja nienda moja kwa moja kweny mada.
Nna pikipiki yangu aina ya fekon ,nliinunua mwaka 2015..na haikunletea shida Hadi hivi majuzi ndo imeanza kunizingua katika upande wa Tanki la kuwekea mafuta..nikajaribu kuziba kwa kutumia dawa haradaiti..mambo yakawa sawa..
Cha kushangaza baada ya siku nne kupita Leo naona Tena upande mwingine wa kushoto unavuja tena,.na kilichonishtua Ni harufu ya mafuta..naomba mnijuze ndg zangu hii kuvuja kwa Tanki husababishwa na kitu gani?..na je spare zake huwa imara au ndo siku mbili zinaanza Tena kuvuja..???
Mwisho Kama Kuna anaejua mahali naweza pata spea ya hili Tanki langu kwa Bei nafuuu..anijulishe..View attachment 1400293

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nunua tanki jipya au tafuta kwa mafundi tanki lililo na hali nzuri.

Kinachofanya tanki la pikipiki kutoboka, moja ni kuisha Kwa bush zilizopo chini ya tanki zinazosapoti tanki Kwa mbele.Unyevu au maji yanayoingia kwenye tanki na kusabisha kutu inayopelekea tanki kutoboka. Sababu nyingine tanki za pikipiki za mchina ni za chuma na zimepakwa rangi nje ndani hazijapakwa rangi kuzuia kutu au tanki alijafanyiwa alloy.

Ukisema uzibe kwa Haladaiti lazima itaachia kutokana na mitetemo,joto na petrol.
 
Asante Sana kiongozi,..je naweza pata Tanki imara zaidi...ambayo sio ya kichina?.
Mkuu nunua tanki jipya au tafuta kwa mafundi tanki lililo na hali nzuri.

Kinachofanya tanki la pikipiki kutoboka, moja ni kuisha Kwa bush zilizopo chini ya tanki zinazosapoti tanki Kwa mbele.Unyevu au maji yanayoingia kwenye tanki na kusabisha kutu inayopelekea tanki kutoboka. Sababu nyingine tanki za pikipiki za mchina ni za chuma na zimepakwa rangi nje ndani hazijapakwa rangi kuzuia kutu au tanki alijafanyiwa alloy.

Ukisema uzibe kwa Haladaiti lazima itaachia kutokana na mitetemo,joto na petrol.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nunua tanki jipya au tafuta kwa mafundi tanki lililo na hali nzuri.

Kinachofanya tanki la pikipiki kutoboka, moja ni kuisha Kwa bush zilizopo chini ya tanki zinazosapoti tanki Kwa mbele.Unyevu au maji yanayoingia kwenye tanki na kusabisha kutu inayopelekea tanki kutoboka. Sababu nyingine tanki za pikipiki za mchina ni za chuma na zimepakwa rangi nje ndani hazijapakwa rangi kuzuia kutu au tanki alijafanyiwa alloy.

Ukisema uzibe kwa Haladaiti lazima itaachia kutokana na mitetemo,joto na petrol.
Umemaliza kila kitu mkuu!
 
Asante Sana kiongozi,..je naweza pata Tanki imara zaidi...ambayo sio ya kichina?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uimara wa tanki unatofautiana na material waliyotengenezea. Pikipiki nyingi za kisasa zimewekewa tanki za Aluminium,Titanium na Plastic ngumu.

Kwa pikipiki zetu za kichina zina tanki la chuma (Iron sheet) na maduka ya spea za pikipiki wanauza hizi hizi.

Kama ukiagiza mtandaoni unaweza chagua tanki za material tofauti.
 
sasa
Habarin za usiku huu ndug zangu,.sitaki kuwashosha ngoja nienda moja kwa moja kweny mada.

Nna pikipiki yangu aina ya fekon ,nliinunua mwaka 2015..na haikunletea shida Hadi hivi majuzi ndo imeanza kunizingua katika upande wa Tanki la kuwekea mafuta..nikajaribu kuziba kwa kutumia dawa haradaiti..mambo yakawa sawa..

Cha kushangaza baada ya siku nne kupita Leo naona Tena upande mwingine wa kushoto unavuja tena,.na kilichonishtua Ni harufu ya mafuta..naomba mnijuze ndg zangu hii kuvuja kwa Tanki husababishwa na kitu gani?..na je spare zake huwa imara au ndo siku mbili zinaanza Tena kuvuja..???

Mwisho Kama Kuna anaejua mahali naweza pata spea ya hili Tanki langu kwa Bei nafuuu..anijulishe..View attachment 1400293

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ulitaka tank liiishi kwa umri wako ? pikipiki ya 2015 maka leo tank lisifuje ? nunua lingine acha kujichosha kwa kuzipa mkuu. petrol ni nyepesi sana kuonyesha ubovu sehemu yeyote
 
Achana na tank la dukan,halitadumu muda mrefu kwa sababu limeundwa material mepesi sana,unaweza ukanunua hata mwaka lisimalize,nenda kwa mafund wakutafutie tank lililokuja na pikipki utakaa nalo muda mrefu kuliko LA dukan

FUND.
 
cover pia huwa linatunza sana maji na kupelekea kutu ambayo huchangia kutoboka kwa tank...Inabidi kila baada ya muda flan unalifungua unalianika likauke unafunga tena.
Habarin za usiku huu ndug zangu,.sitaki kuwashosha ngoja nienda moja kwa moja kweny mada.

Nna pikipiki yangu aina ya fekon ,nliinunua mwaka 2015..na haikunletea shida Hadi hivi majuzi ndo imeanza kunizingua katika upande wa Tanki la kuwekea mafuta..nikajaribu kuziba kwa kutumia dawa haradaiti..mambo yakawa sawa..

Cha kushangaza baada ya siku nne kupita Leo naona Tena upande mwingine wa kushoto unavuja tena,.na kilichonishtua Ni harufu ya mafuta..naomba mnijuze ndg zangu hii kuvuja kwa Tanki husababishwa na kitu gani?..na je spare zake huwa imara au ndo siku mbili zinaanza Tena kuvuja..???

Mwisho Kama Kuna anaejua mahali naweza pata spea ya hili Tanki langu kwa Bei nafuuu..anijulishe..View attachment 1400293

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikupe uzoefu kidogo hata mm namiliki boxer 150 mwaka wa 4 sasa swala kufuja kwa tenki ni kutumia mafuta ya kupima ambapo mara nying unakuta chupa zinakuwa na maji mwisho usabibisha kupata kutu na kusababisha corosion kupelekea kuleak

Kama unacover tanki nzma usabibisha kutunza maj kwenye makava hivo usabibisha kupata kutu

Suluhisho tafuta mafundi wa kuchomelea wanatumia gesi ana weld na kudetect sehem zote ambazo zilikuwa kwenye hatar ya kulika mm ndo walionisaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom