sipo kwenye hayo madude..kama ulizani mimi seeker, pole sana, nna kazi yangu wala sihangaiki. Nauliza maana mapost haya kila nikifungua nayakuta, hivyo tu..
Ndugu, nenda chuo chochote ambacho kinatoa iyo kozi. Mpaka kimeruhusiwa kutia maana yake kimekidhi vigezo, mengine ni ziada ya mwanafunzi mwenyewe. Vyuo vyote vinamfumo wa kulecture that means lecturer anakupa yake at very minimal amount wewe kama mwanafunzi unaenda deeper.
Kama hautakua...
sio kama hawajui, either hawajacare kama vile badala ya before mnaandika b4 n.k au anasababu zake binafsi. Naamini unaweza jua lugha ila spelling zikakupa shida kutokana na jinsi unavyocare. Pia huwezi nyoosha stentensi ya maneno magumu yote iyo alafu neno feel likakupa shida wakati linatumika...
jaman kocha hana kosa, safar yoyote huanza na single steps, haikua rizki tu, ni kocha uyo uyo katuingiza kwenye mashindano ambayo ni miaka mingi tukiyashiriki, asiekubali kushindwa si mshindani kwani kocha ndo aliwafanya wapaishe mipira juu ya gori? What if isinhepaa ikaingia kocha uyo uyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.