malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,712
Habari wakuu,
Msaada wenu kimawazo. Mama watoto wangu aliniomba hela ya mchango wa harusi kwa baba yake mdogo nikampatia 10,000/- Akaniuliza ndio hii hela ya mchango ulioniachia? Nkamjibu ndio. Akasema njoo uchukue hela yako.
Nilitoa kulingana na nilichojaaliwa, nawaza aina ya mke niliyenaye
Msaada wenu kimawazo. Mama watoto wangu aliniomba hela ya mchango wa harusi kwa baba yake mdogo nikampatia 10,000/- Akaniuliza ndio hii hela ya mchango ulioniachia? Nkamjibu ndio. Akasema njoo uchukue hela yako.
Nilitoa kulingana na nilichojaaliwa, nawaza aina ya mke niliyenaye