namba force
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 758
- 434
Kwa wataalamu wa tiba asili. Naombwa kujuzwa dawa ya asili ya ugonjwa taja hapo juu.
AkuoeJamani ambaye anajua kuhusu ugonjwa huu wa hernia naomba anioe darasa kidogo kwasababu naona unanitesa sana