Recent content by Lotru

  1. Lotru

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Mkuu wiki ya pili au ya tatu inafaa kutia mbolea lakini pia inategemeana na mtiririko wa mvua,kwa mpangilio wa dawa pia utaangalia kama kuna mashambuliza ya wadudu ambao mara nyingi husababishwa na uotaji wa majan shambani so ili kuAvoid inabid shamba liwe safi mda wote
  2. Lotru

    Lowassa fanya maamuzi magumu CCM, CHADEMA wamekudhihaki vya kutosha

    Mmmh,,,,sio kutubu! Zungukeni nchi nzima kusema kwamba hakua fisadi bali mlimsingizia! Hamna maana CDM
  3. Lotru

    Mwandishi afungwa baada ya kutoboa Siri ya Uhusiano wa Israel na Iran Fake Enemy

    Yangu macho tu! Endeleeni kutuletea yenye mantiki
  4. Lotru

    Wapendwa wazungu

    Hawa majamaa hawafai kabisa asee,saivi wameamua kuanzisha katuni kabsa za ushoga kupitia Channel yao ya Disney hii wanataget watoto wadogo ili wakikua waone haya mambo ni ya kawaida kumbe laana tupu kwa Mungu
  5. Lotru

    Speech ya Magufuli

    Haters
  6. Lotru

    Katuni ipi ni bora zaidi kwa Watoto wa Pre - School?

    Subri walim wa baby class watakujib mkuu
  7. Lotru

    Niulize juu ya ugonjwa wako nikwambie tiba ya maji ya matunda za mboga za majani

    Habari yako! Mim macho yangu yana matatzo,sioni mbali! Na usku sioni vizuri! Sijawahi kuvaa miwan na wala sina mpango wa kuivaa,Dawa gan nitumie! Kumbuka sijawahi kwenda hosptal kwa hili tatzo! Ni hayo.
  8. Lotru

    Afrika ilishaachwa na Mungu tangu kitambo

    Daah,,ukianza kuandika usinisahau na mim Maana Babu yangu alikuaga Mtemi,alinirithisha vitu vyake vyote!👣
  9. Lotru

    Hivi chadema kuisema vibaya act hakugawi kura za upinzani?

    Mmh,,asee hatare! Ngoja waje watakupa majib tu yakuunga unga!
  10. Lotru

    Nilimzalisha dada yangu, nitapata laana?

    Fanya kutubu mkuu,,na kaa na dada yako umueleze kinagaubaga! Maana hakuna dhambi isiyosameheka mbele ya Mungu!
  11. Lotru

    Mchungaji Lusekelo anawaponda Mitume na Manabii feki Channel 10

    Walishatabiriwa manabii wa uongo hawa! Me nawaangaliaga tu naona wanashindana kupayuka ili kupata pesa.
Back
Top Bottom