Wapendwa wazungu

Wapendwa wazungu

africa tungekuwa na msimamo toka awal tungekuwa mbal na hao wazungu wangetueshimu siyo lazma misaada yao tunaweza ata bila wao ila ndo rumeshajengewa vichwan tukishindwa kitu tunakimbilia ulaya kupewa vitu vya mashart
 
Wa.......wanawake kwa wanawake inakuwa haina nguvu ila kusikia eti jibaba unapumuliwa kisogoni duu...hapa ni bonge la aibu.
 
it's matter of time God himself said it in his Books so its already predicted let thing happen to complete God prediction if yu disagree it mean u aint Together with ur Creator God (if he is exist)
 
Kwenye nguo wametuelimisha la sivyo wote tungetembea makalio wazi kama mabushmen na wanawake wao, ila hili la kumwagiana manii midume kwa midume!! Hell BIG NO!!!
 
Wazungu hawana maana kabisa! Katika hili tuungane kuwapinga kwa nguvu zetu zote. Nafahanu kuwa katika jamii yetu tayari tatizo la usagaji na ushoga lipo, lakini tusikubaliane nalo kama taifa ili ubaki kuwa ni uovu wa mtu binafsi atakayepata adhabu binafsi na siyo uovu wa kitaifa hivyo tutaepuka kuadhibiwa kama taifa mithili ya sodoma na gomora!
 
Hawa majamaa hawafai kabisa asee,saivi wameamua kuanzisha katuni kabsa za ushoga kupitia Channel yao ya Disney hii wanataget watoto wadogo ili wakikua waone haya mambo ni ya kawaida kumbe laana tupu kwa Mungu
 
hadi tom n jerry za sasa hivi zina episodes za kishoga. aisee tumekwishaAaAaaaa
 
Back
Top Bottom